Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Sisi tumezoea presha na kucheza kwa presha. Mara zote dunia huwa against us, kipindi twacheza na Atletico kuna watu hawakupenda na waliipa matumaini Atletico, Mungu mkubwa dakika ya 93 Ramos akasawazisha tukawaua bila penati.

Paaap paaap Atletico huyu hapa, kaja na hasira, dunia nzima ikimpa ushindi. Penati tukawaua.

Akaja Juve, hapa kila mtu aliongea lake, wale wenye chuki na wanaosema huwezi beba consecutive Buffon alishangaa Casemiro alivyomshangaza, hajatulia Ronaldo, hajatulia Asensio.... Dunia wakaaa kimya.

Leo tunakutana na Liver kelele ni zile zile, wanasahau presha tulizopitia, Bayern, PSG, juventus, Tottenham......

Majogoo ni very light na hawajazoea presha kama sisi
 
Nimeangalia na nimesoma wachambuzi wengi wana point upande wa Marcelo kama ndio unapitika zaidi, kisa ni kwamba jamaa anapanda sana kufanya mashambulizi huku akiacha gap kubwa upande wake, lakini ninachokijua ni kuwa Marcelo hajawahi kubadili style yake ya uchezaji na bado hilo gap wapinzani wameshindwa kulitumia, sasa ngoja tuone hiyo kesho itakuwaje,..., [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG].., [HASHTAG]#AporLa13[/HASHTAG]!!
Ni mpumbavu pekee ndie atakayeamini kuwa Salah atamsunbua Marcelo, ni Messi pekee ndie anayeweza kumsumbua jamaa tena wakiwa face to face.

Madrid hata ikicheza na Barca na Messi akawa winga ya kulia, bado Marcelona anapanda saana, nini Salah??? Barca wana Messi na beki Sergi Roberto, hawa wote wana speed isio ya kawaida ila bado Marcelo anapanda.

Binafsi nitafuraaaaaaahi saaaana endapo Liver akabeba hii ndoo.
 
Real Madrid Fans are out in force in Kiev

DeHoSJRW0AEbqj9.jpg


DeHoTdNWsAUgjqm.jpg


DeHoViKX4AA0UdF.jpg
 
Real Madrid’s legends were present in Real Madrid’s final training session before the Champions League Final.

Karembeu, Mijatovic, Makelele, Salgado, Zidane, Arbeloa, Raul and Roberto Carlos.

[HASHTAG]#AporLa13[/HASHTAG]

DeE4XwIWsAAayYz.jpg
 
Nipo kutztown pennsylvania hapa states, hapa ningekuwa na muda ningeenda golazo pub betrehem ndo kuna shangwe la soka but nipo job mpaka saa 11 jioni ya huku
 
Marca’s Cover | “They’re waiting for you at home.”

DeE-L-kWAAA1gaJ.jpg:large
 
Arbeloa and Salgado in Real Madrid’s fan zone in Kiev

DeHcYNjXcAAUig9.jpg:large
 
- This is Real Madrid's 16th appearance in a European Cup/Champions League final, more than any other side in the history of the competition.

- Real Madrid have won it a record 12 times, losing only in 1962 (vs Benfica), 1964 (vs Inter) and 1981 (vs Liverpool).

- This is Liverpool's eighth European Cup/Champions League final, three more than any other English side.

- The Reds have lost just two of their previous seven finals in the competition, vs Juventus in 1985 and their most recent one against Milan in 2007.

- Real Madrid are the first team since Juventus (1996-1998) to reach three consecutive European Cup/Champions League finals, while they could become the first team to win it three years in a row since Bayern Munich (1974-1976).
 
Kila mmoja atatarajia mashambulizi makali zaid kutoka Liverpool wakati wa fainali la klabu bingwa Ulaya lakini kile hatufahamu ni jinsi Real Madri itakabiliana na hali hiyo.
Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp hana nia ya kubadilsha mbinu za kikosi chake cha 4-3-3 kwenye mechi ya leo Jumamosi na kama kutakuwepo na majeraha inamaanisha kuwa hatakuwa na mbinu tofauti pia wa wachezaji.
Kwa upande mwingine meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane ana maauzi makubwa ya kufanya kuhusu ni yupi anayamweka kwenye kikosi cha mechi ya Kiev.

Zidane amekuwa na nyakati msimu huu ambapo kikosi chake kimekuwa na wakati mgumu hasa Ulaya lakini licha ya hilo amefanikiwa.
Ameifikisha Real fainali sio kwa kuangazia pande moja lakini kwa kuwasoma sana wapinzani.
Kwa kufanya hilo na kubadilisha jinsi Real wanacheza kutokana na ni nani wanacheza naye, ameonyesha kuwa sio kocha anayetuma kikosi chake na kukiambia kucheza vile wanacheza licha ya wachezaji wazuri alio nao.

Real lazima iwakabili vilivyo washambuliaji watatu wa Liverpool
Moja ya vita vikali zaid vitakuwa kutoka Mohamed Salah ambaye ni mshambuliaji hatari zaidi duniani dhidi ya mlinzi wa Real Mbrazil Marcelo.
Marcelo ni muhimu sana kwa Real lakini kumwezesha kucheza vizuri zaidi bila ya kuiacha safu ya ulinzi na hatarai kutoka Liverpol ni jamboa litasababisha Zinade kuamua mfumo ambao atautumia.

Amekuwa mwangalifu akicheza na timu ambayo hucheza kwa kushambulia kwa ghafla kama Liverpool na huenda akaitumia mbinu sawa na hiyo.
Zinade pia huenda akafikiria kuwa ikiwa Marcelo atacheza mbele ataupa upande wake ulinzi zaidi akisaidiana na safu ya kati kama Mateo Kovacic na katika mfumo wa 4-4-2 sawa na alivyofanya wakati wa duru ya pili ya ushindi wake dhidi ya PSG.
There you are again!
 
Back
Top Bottom