Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Game ya leo ni ngumu ila pale de stefano ni hatoki mtu
Florentino Perez is selling Achraf Hakimi to Inter Milan so that Inter reject Barca's offer of Semedo plus cash for Martinez. Now, Barca will have to pay whole cash to buy Martinez which is hard given their financial condition.
Just another Don Perez masterclass.
📝: [@Rithik_RM]
Kama hii taarifa ni ya kweli basi wazungu ndo wanazijua figisu aisee
Madrid wamebugi kabisa kumuuza huyo dogo, Nikatika best right backs duniani sasa hivi
Tunahitaji pesa piaMadrid wamebugi kabisa kumuuza huyo dogo, Nikatika best right backs duniani sasa hivi
Tunahitaji pesa pia
Mikataba ya Madrid si kama unavyoichukulia. Wachezaji wengi wenye promising future pale Madrid hua wakiuzwa kuna vipengele kibao vya kurahisisha kuwanunua kwa bei ya kawaida. Hata kavajal ilikua hivyo.mkuu huyu dogo wakupewa namba kabisa pale madrid sasa hivi, ni most inform right back duniani sasa hiv. kama kunahitajika pesa mizoga ipo kibao, Bale, Rodriguez, Marcello, Jr, siyamalizi kabisa
Wamekua wakifanya sajili za ovyo kabisa za kupoteza pesa na kuwaacha vijana mahiri kizembe kabisa
Hembu tupe mfano ya sajili za kizembe na vijana walioachwa na kwenda kung'aa huko walipoenda? Ningefurahi pia ukinipa mfano wa timu ambazo kila usajili zimefanya umekua mzurimkuu huyu dogo wakupewa namba kabisa pale madrid sasa hivi, ni most inform right back duniani sasa hiv. kama kunahitajika pesa mizoga ipo kibao, Bale, Rodriguez, Marcello, Jr, siyamalizi kabisa
Wamekua wakifanya sajili za ovyo kabisa za kupoteza pesa na kuwaacha vijana mahiri kizembe kabisa
Mikataba ya Madrid si kama unavyoichukulia. Wachezaji wengi wenye promising future pale Madrid hua wakiuzwa kuna vipengele kibao vya kurahisisha kuwanunua kwa bei ya kawaida. Hata kavajal ilikua hivyo.
Let him develop his experience.
Hembu tupe mfano ya sajili za kizembe na vijana walioachwa na kwenda kung'aa huko walipoenda? Ningefurahi pia ukinipa mfano wa timu ambazo kila usajili zimefanya umekua mzuri
Kaka valverde unamtizama vizuri lakini. Ujue hata mashabiki mandazi wa barca huwa hawaoni kazi ya busquets ujue, ila mashabiki na wapenzi wa mpira wanajua umuhimu wa mtu kama casemiro au valverde au mtu kama busquets pale barca japo ni jua la jioni. Kaka valverde akiuzwa nitaishangaa madrid naona itakuwa inajaribu kurudia makosa ya kumuuza makelele na kumnunua beckamEder Miltao 50m Euro
Luka Jovic 60m Euro
Mendy 48m Euro
Reinier Jisus 30m Euro
Rodrygo 45m Euro
Mariano 22m Euro
Vinicius Junior 45m Euro
timu imetumia 233m euro ovyo msimuu huu tu hii ukitoa usajili wa hazard. HAwa wote hawana sifa yakua Real Madrid starters. mbali nhao wa chini wa msimu uliopita.
huyo Hakim ni mmoja wakijana makini wanaemuacha .
kuna na MArcos Llorente waliemuuza Atlatico Madrid
kuna Ruguilon ambae wamemtoa kwa mkopo ni beki bora kabisa ya kushoto kuliko wote walionao kwa sasa. na hasa utumbo ni pale walipomuondoa huyo dogo wakaspend karibu 50m kwa mendy .
Kuna na hawa madogo wawili Odegard na Kubo wanahitaji kupewa nafasi kwenye timu wapo nje kwa mikopo wana vipaji vya uhakika.
NA bado nashindwa kufahamu kumuondoa Ceballos halafu mbadala wake kumsaini Valverde jamaa ni wakawaida mno.
Wamepoteza nafasi za kuwauza Bale, Isco na Rodriguez kwa pesa nzuri msimu uliopita hamna atakaeweza lipa pesa nzuri tena kwao kwa sasa.
Hembu tupe mfano ya sajili za kizembe na vijana walioachwa na kwenda kung'aa huko walipoenda? Ningefurahi pia ukinipa mfano wa timu ambazo kila usajili zimefanya umekua mzuri
Kaka valverde unamtizama vizuri lakini. Ujue hata mashabiki mandazi wa barca huwa hawaoni kazi ya busquets ujue, ila mashabiki na wapenzi wa mpira wanajua umuhimu wa mtu kama casemiro au valverde au mtu kama busquets pale barca japo ni jua la jioni. Kaka valverde akiuzwa nitaishangaa madrid naona itakuwa inajaribu kurudia makosa ya kumuuza makelele na kumnunua beckam
Federico Velvede una mtazama aje mkuu? Yule dogo ni DM mzuri saana ndio maana mechi nyingi akifanyiwa sub tunapigwa nme shuhudia game kama tatu Fede akitoka mda si mrefu tunafungwa acha kumu underrateEder Miltao 50m Euro
Luka Jovic 60m Euro
Mendy 48m Euro
Reinier Jisus 30m Euro
Rodrygo 45m Euro
Mariano 22m Euro
Vinicius Junior 45m Euro
timu imetumia 233m euro ovyo msimuu huu tu hii ukitoa usajili wa hazard. HAwa wote hawana sifa yakua Real Madrid starters. mbali nhao wa chini wa msimu uliopita.
huyo Hakim ni mmoja wakijana makini wanaemuacha .
kuna na MArcos Llorente waliemuuza Atlatico Madrid
kuna Ruguilon ambae wamemtoa kwa mkopo ni beki bora kabisa ya kushoto kuliko wote walionao kwa sasa. na hasa utumbo ni pale walipomuondoa huyo dogo wakaspend karibu 50m kwa mendy .
Kuna na hawa madogo wawili Odegard na Kubo wanahitaji kupewa nafasi kwenye timu wapo nje kwa mikopo wana vipaji vya uhakika.
NA bado nashindwa kufahamu kumuondoa Ceballos halafu mbadala wake kumsaini Valverde jamaa ni wakawaida mno.
Wamepoteza nafasi za kuwauza Bale, Isco na Rodriguez kwa pesa nzuri msimu uliopita hamna atakaeweza lipa pesa nzuri tena kwao kwa sasa.
Du! Kwahiyo wote hao uliowataja ni wabovu??? Unajua thamani yao imekua kiasi gani mpaka sasa toka wanunuliwe?? Wote hao age ni 18-20, wanaviwango vizuri na wanaitaji kujenga uzoefu tu. Wana muda wa kutosha kukua.Eder Miltao 50m Euro
Luka Jovic 60m Euro
Mendy 48m Euro
Reinier Jisus 30m Euro
Rodrygo 45m Euro
Mariano 22m Euro
Vinicius Junior 45m Euro
timu imetumia 233m euro ovyo msimuu huu tu hii ukitoa usajili wa hazard. HAwa wote hawana sifa yakua Real Madrid starters. mbali nhao wa chini wa msimu uliopita.
huyo Hakim ni mmoja wakijana makini wanaemuacha .
kuna na MArcos Llorente waliemuuza Atlatico Madrid
kuna Ruguilon ambae wamemtoa kwa mkopo ni beki bora kabisa ya kushoto kuliko wote walionao kwa sasa. na hasa utumbo ni pale walipomuondoa huyo dogo wakaspend karibu 50m kwa mendy .
Kuna na hawa madogo wawili Odegard na Kubo wanahitaji kupewa nafasi kwenye timu wapo nje kwa mikopo wana vipaji vya uhakika.
NA bado nashindwa kufahamu kumuondoa Ceballos halafu mbadala wake kumsaini Valverde jamaa ni wakawaida mno.
Wamepoteza nafasi za kuwauza Bale, Isco na Rodriguez kwa pesa nzuri msimu uliopita hamna atakaeweza lipa pesa nzuri tena kwao kwa sasa.
Hajielewi huyu.. Aangalie Fede amekua man of the match mara ngapi msimu huu.Federico Velvede una mtazama aje mkuu? Yule dogo ni DM mzuri saana ndio maana mechi nyingi akifanyiwa sub tunapigwa nme shuhudia game kama tatu Fede akitoka mda si mrefu tunafungwa acha kumu underrate