Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ujue kumchambua DIFFENSIVE MIDFIELD kwa shabiki mandazi ni ngumu sana. Kuna mashabiki wa mpira kupitia livescore na kwenye mikeka. Emu mtuache sisi tunaoifatilia kila touch kila sekunde kila movement ya mpira uwanjani. Huwezi muanderate kiasi icho FEDE.... Dogo yule nadhani anaweza kuwa moja ya defensive and box to box midfield kwa sasa. Akiaminiwa tunaweza hata NGOLO KANTE asisajiliwe pale madrid.
 
Ujue kumchambua DIFFENSIVE MIDFIELD kwa shabiki mandazi ni ngumu sana. Kuna mashabiki wa mpira kupitia livescore na kwenye mikeka. Emu mtuache sisi tunaoifatilia kila touch kila sekunde kila movement ya mpira uwanjani. Huwezi muanderate kiasi icho FEDE.... Dogo yule nadhani anaweza kuwa moja ya defensive and box to box midfield kwa sasa. Akiaminiwa tunaweza hata NGOLO KANTE asisajiliwe pale madrid.
 
Federico Velvede una mtazama aje mkuu? Yule dogo ni DM mzuri saana ndio maana mechi nyingi akifanyiwa sub tunapigwa nme shuhudia game kama tatu Fede akitoka mda si mrefu tunafungwa acha kumu underrate

Velvede hachezi DM pale Real Madrid mkuu, anacheza AM anabadilishana namba na Luka Modric, nahilo ndio tatizo kuwa. Timu kama Real Madrid huwezi kuwa na AM kama yule ambae skill yake ni ndogo sana.
 
Ujue kumchambua DIFFENSIVE MIDFIELD kwa shabiki mandazi ni ngumu sana. Kuna mashabiki wa mpira kupitia livescore na kwenye mikeka. Emu mtuache sisi tunaoifatilia kila touch kila sekunde kila movement ya mpira uwanjani. Huwezi muanderate kiasi icho FEDE.... Dogo yule nadhani anaweza kuwa moja ya defensive and box to box midfield kwa sasa. Akiaminiwa tunaweza hata NGOLO KANTE asisajiliwe pale madrid.

Timu kama Real Madrid haihitaji kuchezesha Defensive midfield wawili uwanjani, sasa hapo tafauti yao na Gatafe itakua wapi? Tatizo kubwa la Zidane anawacheza wawili yeye na Casemiro na ndio mwisho wake waliaibika mechi za Man City na PSG, zote walinyanyaswa kama watoto wadogo uwanjani. Na aibu Zaidi Mechi ya City ndani ya Bernebau walinyanyaswa mno kati.
 
Hajielewi huyu.. Aangalie Fede amekua man of the match mara ngapi msimu huu.

Alafu watu kama hawa unabishana nao kumbe hata mechi hawaangalii, wanasubiri matokeo live score.

Mtu kama Vin anamchango mkubwa sana, japo hayupo clinical kwenye umaliziaji.. Hata Rauli akiwa bwana mdogo alikua na hili tatizo, lakini aliendelea kuwa bora kadiri muda ulivyokwenda.

Hata Modric alipokuja watu waliongea mbovu, ila badae shughuli yake waliona.

Kwa forward kama huyo Vi awe ndio tegemeo Real Madrid watasahau Champion League kwa miaka mengi mengine mbele.
 
Du! Kwahiyo wote hao uliowataja ni wabovu??? Unajua thamani yao imekua kiasi gani mpaka sasa toka wanunuliwe?? Wote hao age ni 18-20, wanaviwango vizuri na wanaitaji kujenga uzoefu tu. Wana muda wa kutosha kukua.
Nilikwambia nitajie timu ambayo inanunua wachezaji na wote wanakua first class players naona hujanitajia.

Lengo la kutoa wachezaji kwa mkopo ni kwajili ya kuwapa play time na kuwapa uzoefu, kwasababu wakiendelea kukaa kwenye timu na wazoefu wataishia kusugua bench tu.

Madrid haijaanza kuuza wachezaji wala kununua wachezaji jana wala leo. Na itaendelea kufanya hivyo kwasababu mpira ni zaidi ya uwanjani, ni biashara pia.

huwezi kununua mchezi kwa 50m halafu bado usubiri ajenge uzoefu.
 
Jamaa yetu dos.2020 ukisoma post yake utaona analogic lakin reference yake ni mechi mbili tuu. Lakin anasahau kwamba madrid ipo kwenye transition kubwa mnoo. Walikuwepo makinda weng hapo madrid emu ajiulize kwa nn wengine waneuzwa na wengine wametolewa kwa mkopo ila valverde kabakizwa. Hajui kabisa jinsi dogo FEDE alivyoonyesha uwezo kiasi ya kupata muda mwingi sasa. Emu aende youtube aone jinsi dogo yule anavyofanya. Anacheza diffensive na wakati mwingine Attacking.
Anamkosoa zizou na benchi lake as if ana uwezo kumzidi champion wa dunia zizou. Kaka kama huu ndo uchambuzi wako wa soka basi nenda shule. Upo na mahaba sana na timu unataka timu ifanye makubwa kama maajabu ya MUSSA au YESU KRISTO.
My friend hicho kitu sio rahis unavyofikiria.
Madrid ipo kwenye transition zizou bado hajaipata ile squad yake ya uhakika ndo maana kuna kuwa na rotation kubwa sana pale. Unataka mtu asajiliwe leo kesho aanze kutupia magoli au kuonyesha kiwango cha juu namna gani. Kumbuka modric ilisemekana ni the worst signing. Lakin nambie alioyafanya modric sasa ni yapi. Wape muda vijana. Ww just watch and enjoy madrid football.
 
huwezi kununua mchezi kwa 50m halafu bado usubiri ajenge uzoefu.
Mkuu we endelea kuangalia matokeo live score. Unategemea promising young player auzwe bei gani? Unataka wachezaji wanunuliwe bei zakina Mrishi Ngasa nini? Usipime bei za wachezaji pale Madrid kwa kulinganisha na hali yako ya kimaisha.
 
Kwa forward kama huyo Vi awe ndio tegemeo Real Madrid watasahau Champion League kwa miaka mengi mengine mbele.
Hujui unachoongea. Fatilia Raul kabla hajawa kwenye pick alikuaje.

Fata statistics za CR7 alipotoka na msimu wa mwanzo pale Man U. Fatilia Luca Modric alikuaje wakati tunamchukua, Casemiro unadhani aliingia tu pale na kuweka waliokuwepo bench? Unadhani Marcelo alikuja tu akaanza..

Endelea kusikiliza mpira, sisi tunatamazama.

Timu imefanya makubwa sana ndani ya miaka 5, ni muda wa kujipanga upya, na huwezi jipanga upya kwa kutumia wachezaji walioenda umri pekee.
 
Hujui unachoongea. Fatilia Raul kabla hajawa kwenye pick alikuaje.
Fatilia Luca Modric alikuaje wakati tunamchukua,
Jamaa yetu dos.2020 Kumbuka modric ilisemekana ni the worst signing. Lakin nambie alioyafanya modric sasa ni yapi. Wape muda vijana. Ww just watch and enjoy madrid football.

Labda ni nyinyi ndio mliosema Modric ni worst signing. Modric ni mchezaji wa kiwango cha juu wala shaka haipo ndani yake, ni Mourinho tu alieshindwa kumchezesha kwenye nafasi ya kueleweka na tena kwa mfumo usioleweka. Baadi Ancelotti kubeba timu msimu uliofuata matekeo yake muliyaona. Na modric Alitoa mchango mkubwa wa ubebaji wa Champion League msimu wa pili tu baada ya kusajiliwa.

Hivi nyinyi hajmuona kama yule 60m striker ni waste of money? au ndo mnaamini mambo yatabadilika huko mbele?
 
All eyes on San Mamés


EcKOMPbXYAM5-yQ
 
Real Madrid since returning:

6 Games
6 Wins
0 Draws
0 Losses
12 Goals Scored
2 Goals Allowed
4 Cleansheets

¡Hala Madrid!
 
Back
Top Bottom