Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,282
- 1,096,069
Marcelo alikuwa akiongea kufuatia sare isiyo ya magoli ya Madrid katika uwanja wa mahasimu wao Atletico Madrid Jumamosi.
Sare hiyo imewaacha Madrid na Atletico pointi 10 nyuma ya vinara wa La Liga Barcelona baada ya raundi 12, hata hivyo Marcelo hajakata tamaa kwa timu yake kufuta pengo hilo.
Sare hiyo imewaacha Madrid na Atletico pointi 10 nyuma ya vinara wa La Liga Barcelona baada ya raundi 12, hata hivyo Marcelo hajakata tamaa kwa timu yake kufuta pengo hilo.