Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Nimeona Zidane apa mwishoni ana waambia wachezaj wafungue kidogo, maana tim ime jibana , hasa ina kuwa ina paki treni

Nadhan ata waelekeza kipnd hki cha pili watafute goli jngne kwanza
 
Good job team for this first half.....casemiro ameplay vzr sana....kafanya kazi ambayo amatumwa na ambayo simeon alikuwa anajua kuwa huyu ndo kikwazo kikuu...kafanya kazi kuwa nyepesi sana kwa modric fundi...upande wa mbele,benzema sijaona alichofanya cha maana nafikir anaweza kuingia lucas kuanzia dakika ya 70....beki zetu ziwe makini nakuruhusu hawa jamaa kupiga,maana naona wanamvuta sana makwapa navas,ambayo ni hatar sana kwetu....half hii ijayo atletico watafunguka zaidi ili kusawazisha so counter tutazopiga tuzitumie vzr ili wapagawe kabisa nakupotea mchezon....
 
Game ipo poa tu, vijana wamejitahid sana ji control game dk 30 za kwanza., cha muhimu hapa ni kutafuta goli la pili tumalize mchezo...
 
Hawa jamaa kwa physic hatuwawez maana mazoez yao wanabeba vyuma hata kwenye pitch


Dakika 15 za mwisho sikuzipenda. Kipindi cha pili Zizou ajipange tuwachezee total. Na huyu Benzema katuangusha kimtindo anacheza Kama sio fainali. Anapoteza Sana mipira halafu anatembea
 
Dakika 15 za mwisho sikuzipenda. Kipindi cha pili Zizou ajipange tuwachezee total. Na huyu Benzema katuangusha kimtindo anacheza Kama sio fainali. Anapoteza Sana mipira halafu anatembea
Benzema leo hayupo sawa
 
Dakika 15 za mwisho sikuzipenda. Kipindi cha pili Zizou ajipange tuwachezee total. Na huyu Benzema katuangusha kimtindo anacheza Kama sio fainali. Anapoteza Sana mipira halafu anatembea
Eeeh
Hata mie cjapenda ile approach naona tunajibana hadi tuna suffocate.

Ila as long as it works its good
 
Dakika 15 za mwisho sikuzipenda. Kipindi cha pili Zizou ajipange tuwachezee total. Na huyu Benzema katuangusha kimtindo anacheza Kama sio fainali. Anapoteza Sana mipira halafu anatembea
Upo sahihi mkuu
 
Ukweli ni kwamba kila mmoja anatamani sana Atletico washinde sema kuna kaukweli kila mmoja pia anakajua ya kwamba ni ngumu. Madrid wako vizuri zaidi
 
Back
Top Bottom