Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

89' - Levante scored and makes it 2-1. Patetico de Madrid are out of the race for La Liga.
 

FULL TIME: Real Madrid 3-2 Valencia (@Cristiano 26' 59', @Benzema 42'; Rodrigo 55', André Gomes 81'). #RMLiga #HalaMadrid


Ch8uBE5XIAQD_MC.jpg:large
 
Alvaro Arbeloa: "Wearing this shirt and playing at the Bernabéu is the best thing that has ever happened to me."

- "It's been an honor to wear this shirt. Defending this badge is the best thing that could happen to a professional."

- "We will believe we can win until the final moment. We will fight until the end."

- "I don't know how to express such gratification. Each minute in this field has been the best moment of my life."

- "From now on, I'll be another fan supporting the team. Here in Spain I can't wear another shirt that isn't Real Madrid's."

"The fans are the most important part of Real Madrid. They are Real Madrid. They suffer more than us."
 
C ana adhabu yule yakukaa nje had msimu uishe


Saa hizi anaongea kiargentina na mkewe. Wale lazima tuwapige kwenye fainali. Yaani nikiangalia game ya Valencia, nawaona hawa wako sawa kuliko Atleti. Wanacheza mpira, wanashambulia na wakiwa na mpira ufanye kazi kuchukua, sio wale fujo tu.
 
Saa hizi anaongea kiargentina na mkewe. Wale lazima tuwapige kwenye fainali. Yaani nikiangalia game ya Valencia, nawaona hawa wako sawa kuliko Atleti. Wanacheza mpira, wanashambulia na wakiwa na mpira ufanye kazi kuchukua, sio wale fujo tu.
Atletico wanaingia kwenye fainal wakipewa nafasi kubwa sana yakushinda na hiki kinawapa kiburi sana hata kocha wao...sasa madhara yake ni kuwa wataenda huku wamejaa upepo...wakipigwa kimoja kama kawaida yao lazima wapasuke kwa hasira na hapo kiulaini tunaendelea kujipigia...udhaifu mkubwa wa atletico ni uwezo wakutulia kiakili ukisawazisha au ukitangulia kuwafunga
 
Atletico wanaingia kwenye fainal wakipewa nafasi kubwa sana yakushinda na hiki kinawapa kiburi sana hata kocha wao...sasa madhara yake ni kuwa wataenda huku wamejaa upepo...wakipigwa kimoja kama kawaida yao lazima wapasuke kwa hasira na hapo kiulaini tunaendelea kujipigia...udhaifu mkubwa wa atletico ni uwezo wakutulia kiakili ukisawazisha au ukitangulia kuwafunga


Tall wale wetu tu. Yaani sina wasiwasi nao kabisa. Mchezo wao ule ule kila siku.
 
La Liga is by far the best league in the world. It will be defined in the last game, and has three European finalists. It's unmatched.
 
Cristiano Ronaldo was named Man of the Match:

- Rating 8.78
- Goals 2
- Shots 3
- Interceptions 2
- Key Passes 1.

[WhoScored]
 
Atletico wanaingia kwenye fainal wakipewa nafasi kubwa sana yakushinda na hiki kinawapa kiburi sana hata kocha wao...sasa madhara yake ni kuwa wataenda huku wamejaa upepo...wakipigwa kimoja kama kawaida yao lazima wapasuke kwa hasira na hapo kiulaini tunaendelea kujipigia...udhaifu mkubwa wa atletico ni uwezo wakutulia kiakili ukisawazisha au ukitangulia kuwafunga
Ni kawaida yao kutupania, na kipindi hiki kuna media zinawatia upepo, wasubiri hiyo tar ifike watatuelewa!! Kama kawa ni kuwatia tu adabu.
 
Back
Top Bottom