Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

San Sebastián | Fans waiting for the players at the team's hotel.

ChO-TLgWUAAb_9t.jpg:large
 
Real Madrid XI: Navas; Danilo, Ramos, Varane, Nacho; Casemiro, Modrić, James; Lucas Vazquez, Mayoral, Bale.
 
Sikumbuki penetration pass za maana dhidi ya ManCity hata pale RMA ilipoutawala mchezo kwenye second half. Mtu wa kufanya hivyo alikuwa ni James tu, bado naamini hivyo
 
Sikumbuki penetration pass za maana dhidi ya ManCity hata pale RMA ilipoutawala mchezo kwenye second half. Mtu wa kufanya hivyo alikuwa ni James tu, bado naamini hivyo


Nobody hate James. He's a good player and the team needs him, lakini kama ulimwangalia kwenye last few games, alikuwa hayuko tight sana, mara nyingi alikuwa hayuko kwenye position na anapoteza mipira sana. Leo kapewa game muhimu sana hii, nafikiri atafanya vizuri tuondoe hii mijadala kwenye media
 
Sikumbuki penetration pass za maana dhidi ya ManCity hata pale RMA ilipoutawala mchezo kwenye second half. Mtu wa kufanya hivyo alikuwa ni James tu, bado naamini hivyo
Mkuu ishu ya James ni mbili kidogo, Zidane anapendelea sana mfumo wa 4-3-3 badala ya 4-4-2 (ambapo James/Isco ) wangepata nafasi, kumbuka hata Ancelloti alisema kua Zidane ndio alimpa hiyo idea ya 4-3-3.., so nafasi ya James/Isco ni ndogo sana kwenye kikosi cha Zidane.., labda hapo baadae (msimu ujao) Zidane akianza kuamini kweny philosophy nyingine... ila kwasasa itabidi wasubiri..

Kuna post huko juu niliandika kua ningependa sana Isco na James wecheze badala ya Lucas na Jese kweny game dhidi ya City, sema ndio hivyo jamaa alikua ana Mipango yake!!
Hua nina imani sana James akiwa uwanjan sababu ana uwezo wa kufunga ama kutoa assist, sema nina support chochote anachofanya coach ili team ishinde!! #Halamadrid!!
 
James anachezea bench sana kwa sababu ana fcuked up attitude. Baada ya matatizo yake kuanza, kuna siku aliambiwa pamoja na wenzie ku-warm up, akajivuta. Game tuliyopigwa na Wolfsburg, alinaswa akitabasamu design ya kufurahia kile kipigo.

James has changed kitabia, ndio maana yanamkuta yanayomkuta.
 
25 minutes played and not much has happened so far. Sociedad defend well. Not many spaces left.
 
Mkuu ishu ya James ni mbili kidogo, Zidane anapendelea sana mfumo wa 4-3-3 badala ya 4-4-2 (ambapo James/Isco ) wangepata nafasi, kumbuka hata Ancelloti alisema kua Zidane ndio alimpa hiyo idea ya 4-3-3.., so nafasi ya James/Isco ni ndogo sana kwenye kikosi cha Zidane.., labda hapo baadae (msimu ujao) Zidane akianza kuamini kweny philosophy nyingine... ila kwasasa itabidi wasubiri..

Kuna post huko juu niliandika kua ningependa sana Isco na James wecheze badala ya Lucas na Jese kweny game dhidi ya City, sema ndio hivyo jamaa alikua ana Mipango yake!!
Hua nina imani sana James akiwa uwanjan sababu ana uwezo wa kufunga ama kutoa assist, sema nina support chochote anachofanya coach ili team ishinde!! #Halamadrid!!
Pamoja na mfumo huo wa 4-3-3 naona leo kaanza, siangalii game yenyewe ila nafuatilia streaming kwenye media mbalimbali dogo anakamua vilevile na timu iko compact enough...
 
Hakuna creativity tukifika kwenye final third of the pitch. I think Zidane will bring Isco in the second half.
 
Back
Top Bottom