Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Today's training ahead of tomorrow's match against Real Sociedad! #RMCity #RMLiga #HalaMadrid

ChNb-5eWwAAOepr.jpg


ChNb-55WYAAR0eK.jpg


ChNb-5wWMAAjl4D.jpg


ChNb-5_WUAALsn1.jpg
 
Isco and James Rodriguez will most likely start tomorrow against Real Sociedad. One of the last chances to redeem themselves. [Jugones]
 
The 19-man squad for tomorrow's match against Real Sociedad!

ChNU5q0WwAAgToG.jpg:large
Hivi Yames (James) ana tatizo gani zito kiasi cha kuto appear kwenye game hata hizi? Napenda accuracy passing zake it touches roughly 75% of Zidanez record. I stand to be corrected
 

If everything goes to plan, Cristiano Ronaldo and Karim Benzema will play on Wednesday against City. [COPE]


ChONh0TW4AAcay9.jpg:large
 
Huyu Benzema amebakiza bicycle kind of scoring goals tu. Mbali na hapo sioni msaada mwingine mkubwa pale RMA
ni kweli kuna shida kidogo kwa Benzema labda tumpe mda,muda mwingine anakosa goli za kizembe yani hana concetration
 
Manchester United and Tottenham Hotspur will step up their pursuit of Real Madrid wonderkid Pedro Ruiz this month
1461956223243.jpg
 
In a serious note unaanzaje kuweka apology mkuu. Hili siliiti jipu tu. Overhaul is there to stay
Benzema yupo katika Top 6 ya Best strikers in the world..

he's been overlooked kwasababu anacheza na Ronaldo ambaye he's more of a Goal scorer pia..(Ronaldo ni moja kati ya top goal scorer the world has ever seen)

And kama unazungumzia perfomance ya Benz dhidi ya City, ni kwamba alikuwa anacheza na Sindano siku ile, he wasnt 100% fit..
 
Salamander, whatsap with Hamez?? seems Zidane ham-rate kabisa jamaa..alikosea kujoin madrid? thoughts?

Zidane anahitaji James aimarike ..... Mwanzo alikua anaanza kabla ya Casemiro hajavuruga kikosi kwa kiwango madhubuti ( nadhani utakua unaelewa) sasa niambie ungekua wewe kocha pale estadio Santiago bernabeu ungemtoa nani ili James achese? Ukija kwa Kroos yeye ni pass master yaani timu ikiwa haina mipira anatafutwa yeye akae nao ile game ya Man City wachezaji wetu wote walipoteza mipira hovyo kasoro yeye ( nadhani hapa tunaelewana Pia) tukinalizia kwa Modrick yuko katika kiwango kikubwa Sana na hivyo hatuwez kumuweka nje ili James acheze......Swali ni nan atoke acheze James?????
 
Zidane anahitaji James aimarike ..... Mwanzo alikua anaanza kabla ya Casemiro hajavuruga kikosi kwa kiwango madhubuti ( nadhani utakua unaelewa) sasa niambie ungekua wewe kocha pale estadio Santiago bernabeu ungemtoa nani ili James achese? Ukija kwa Kroos yeye ni pass master yaani timu ikiwa haina mipira anatafutwa yeye akae nao ile game ya Man City wachezaji wetu wote walipoteza mipira hovyo kasoro yeye ( nadhani hapa tunaelewana Pia) tukinalizia kwa Modrick yuko katika kiwango kikubwa Sana na hivyo hatuwez kumuweka nje ili James acheze......Swali ni nan atoke acheze James?????

Swala siyo nani akae nje. Ishu inakuja hata hapo juzi baada ya timu kumkosa CR7 uwanjani, Na benzema kuumia first half still room ya James haikupatikana. Hapa ndipo wadau tunajiuliza. kuna makosa gani, Kuna nini kinaendelea nyuma ya pazia.? kama ni statistics James ana statistics nzuri msimu huu kuliko waliokuwa katika kikosi na kupewa playtime kubwa.

hizi ndo stats za wachezaji ambao wanaonekana kucompete namba na James baada ya mechi ya Man city uingereza

LUKA MODRIC
minutes played : 2452
Matches played :40
Assist : 3
Goals : 3

ISCO
minutes played : 2466
Matches played :39
Assist : 10
Goals : 5

TONI KROOS
minutes played : 3426
Matches played :40
Assist : 7
Goals : 1

JAMES RODRIGUEZ
minutes played : 1628
Matches played :26
Assist : 9
Goals : 8

Na kwa msimu uliopita stats zake zilikuwa kama hivi

JAMES RODRIGUEZ
minutes played : 3619
Matches played : 46
Assist : 17
Goals : 17


Sasa kinachotushangaza mashabiki wa madrid ni kuwa, kwa mfano mechi kama ya wolfsburg mechi ambayo tulikuwa tunahitaji ushindi ama hata goli la ugenini. mtu ambaye huwa anaibeba timu Hayupo uwanjani, yet backup yake (Benzema) hayupo fit na katoka first half. Yet una unexperienced men wenye poor scoring record/Assist (Vasquez & Jesse) wanaongoza mashambulizi. Bado unaendelea kuwaacha on pitch pasipo kuwa na effect yoyote, na huku una mtu mwenye effect kama James kwenye bench.

Haitoshi unamuacha vasquez mpaka dakika ya 89, unamuingiza mtu ambaye angalau ana effect (ISCO) aingie kufanya maajabu. Is this how it was supposed to be.? Hata kama zidane ni legend, Ila katika hili naona amemisstep kidogo, Otherwise watuambie James ana matatizo mengine na si tatizo la ufit awapo uwanjani
 
Swala siyo nani akae nje. Ishu inakuja hata hapo juzi baada ya timu kumkosa CR7 uwanjani, Na benzema kuumia first half still room ya James haikupatikana. Hapa ndipo wadau tunajiuliza. kuna makosa gani, Kuna nini kinaendelea nyuma ya pazia.? kama ni statistics James ana statistics nzuri msimu huu kuliko waliokuwa katika kikosi na kupewa playtime kubwa.

hizi ndo stats za wachezaji ambao wanaonekana kucompete namba na James baada ya mechi ya Man city uingereza

LUKA MODRIC
minutes played : 2452
Matches played :40
Assist : 3
Goals : 3

ISCO
minutes played : 2466
Matches played :39
Assist : 10
Goals : 5

TONI KROOS
minutes played : 3426
Matches played :40
Assist : 7
Goals : 1

JAMES RODRIGUEZ
minutes played : 1628
Matches played :26
Assist : 9
Goals : 8

Na kwa msimu uliopita stats zake zilikuwa kama hivi

JAMES RODRIGUEZ
minutes played : 3619
Matches played : 46
Assist : 17
Goals : 17


Sasa kinachotushangaza mashabiki wa madrid ni kuwa, kwa mfano mechi kama ya wolfsburg mechi ambayo tulikuwa tunahitaji ushindi ama hata goli la ugenini. mtu ambaye huwa anaibeba timu Hayupo uwanjani, yet backup yake (Benzema) hayupo fit na katoka first half. Yet una unexperienced men wenye poor scoring record/Assist (Vasquez & Jesse) wanaongoza mashambulizi. Bado unaendelea kuwaacha on pitch pasipo kuwa na effect yoyote, na huku una mtu mwenye effect kama James kwenye bench.

Haitoshi unamuacha vasquez mpaka dakika ya 89, unamuingiza mtu ambaye angalau ana effect (ISCO) aingie kufanya maajabu. Is this how it was supposed to be.? Hata kama zidane ni legend, Ila katika hili naona amemisstep kidogo, Otherwise watuambie James ana matatizo mengine na si tatizo la ufit awapo uwanjani

Lucas ni winga sina uhakika Kama James anaimudu hiyo nafasi. Ila naamini muda wake utafika atacheza aisaidie timu . tatizo linakuja kwa vile Real Madrid Ina shehena ya viungo .... Kwa hiyo mpangilio wake unajua ni mgumu hapo.
 
Salamander, whatsap with Hamez?? seems Zidane ham-rate kabisa jamaa..alikosea kujoin madrid? thoughts?


James kanunuliwa bei mbaya sana. He's a good player but not mententally strong. Instead of fighting for his position in the squad quietly, he's taking opportunities in the press. They have lost faith in him, lakini hawataki hasara pia. Kama tajiri wa PSG akikubali kulipa hela, namuona James anakwenda Ufaransa msimu ujao
 
Back
Top Bottom