Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,706
- 6,373
Afadhaliiiii.. walitaka kutuzoea hawa vijana
Afadhaliiiii.. walitaka kutuzoea hawa vijana
Mkuu we acha tu., alaf hawa vijana walijiandaaa kwa drooWalitaka kutuharibia dinner jumamosi yote hii.
Mkuu we acha tu., alaf hawa vijana walijiandaaa kwa droo
Bale's growing into a real big boy. That's more like it. Hasta el final!
Sure man!! vijana walijitahid sana, sasa ninona wako serious na hii kituWalijiandaa kwa Real Madrid, si umeona walivyocheza. Lakini second half ilikuwa massive perfomance kutoka kwa squad nzima. Bale amecheza sana leo, jamaa anakimbiza na kuruka mipira yote ya vichwa.