Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

wembeee & Asprin wote mnakaribishwa hapa kuchangia na kuongea football. Real Madrid supporters are mature enough to handle gentle conversations. Ukiona mtu anatukana kwenye thread hii ujue huyo kapotea reli tu. Inasikitisha baadhi ya watu wako hapa kwa ajili ya kutuharibia starehe, lakini hatuna la kufanya.....Kama ukisoma vizuri pale juu tumeandika: Welcome to the Real Madrid C.F. Jamii Forums thread. Keep up to date with the latest news & engage with the club and other supporters.

#HalaMadrid
Thanks Mkuu. Haisumbui sana. Nishaweka mambo flani kwenye ignore list yangu.

BTW imekuwaje mkaruhusu mbili kwa mjerumani? Mtachomoa?

Best of luck, napenda kuona fainali nyingine ya el classico.
 
Au ni kwa kuwa tumeshapoteza la liga!?
kombe ambalo tuna hakika lipo ndani ya uwezo wetu ni CL tukiongeza juhudi kidgo...ukiangalia game ya juzi...modric alikuwa amechoka sana akawa hapandi mbele kabisa,anapiga back pass tu na siyo kupenya kama kawaida yake...ndo hapo tulipokuwa tunakosea,kwa hiyo kumpumzisha kwa ajili ya marudiano ni muhimu sana,lakini pia ukiangalia hata magoli tuliyofungwa siyo kuwa niya kiufundi hapana...ukiangalia penalt ile navas alishindwa kuwapanga beki wake,hadi anakuja casemiro toka dimba la kati ilihali pepe,ramosi,danilo na modric walikuwa wako ndani ya box...palikuwa na hole pale,goli la pili vivyo hivyo....marcelo anampa mtu nafasi kubwa yakupiga cross ukiangalia pepe alikuwa amesimama tu hajui anafanya nini pale..ramos anaachwa na mtu ambaye anaenda kufunga...anakuja shtuka tayar mtu mpira ushamfikia mguun na yeye anajaribu kuweka mguu kiushahidi,navas pale nae alijisahau kwa sababu alikuwa ana uwezo wakutoka kabla mpira haujamfikia mfungaji...kimsingi baridi ya ujerumani ilitugandisha,wachezaji muhimu walienda shangaa ujerumani....yaan kwa ujumla hautukuwa na madhara ujerumani...ni vyema akawapumzisha
 
kombe ambalo tuna hakika lipo ndani ya uwezo wetu ni CL tukiongeza juhudi kidgo...ukiangalia game ya juzi...modric alikuwa amechoka sana akawa hapandi mbele kabisa,anapiga back pass tu na siyo kupenya kama kawaida yake...ndo hapo tulipokuwa tunakosea,kwa hiyo kumpumzisha kwa ajili ya marudiano ni muhimu sana,lakini pia ukiangalia hata magoli tuliyofungwa siyo kuwa niya kiufundi hapana...ukiangalia penalt ile navas alishindwa kuwapanga beki wake,hadi anakuja casemiro toka dimba la kati ilihali pepe,ramosi,danilo na modric walikuwa wako ndani ya box...palikuwa na hole pale,goli la pili vivyo hivyo....marcelo anampa mtu nafasi kubwa yakupiga cross ukiangalia pepe alikuwa amesimama tu hajui anafanya nini pale..ramos anaachwa na mtu ambaye anaenda kufunga...anakuja shtuka tayar mtu mpira ushamfikia mguun na yeye anajaribu kuweka mguu kiushahidi,navas pale nae alijisahau kwa sababu alikuwa ana uwezo wakutoka kabla mpira haujamfikia mfungaji...kimsingi baridi ya ujerumani ilitugandisha,wachezaji muhimu walienda shangaa ujerumani....yaan kwa ujumla hautukuwa na madhara ujerumani...ni vyema akawapumzisha
Yap umeeleza vyema lakini naomba utoe maoni kuhusu ile penalty nimeirudia kuiangalia you tube naona kama Casemiro alimkinga na upaja yule jamaa ila refa alihadaika.
 
Yap umeeleza vyema lakini naomba utoe maoni kuhusu ile penalty nimeirudia kuiangalia you tube naona kama Casemiro alimkinga na upaja yule jamaa ila refa alihadaika.
Kwa mazingira yale ya mtu kuwa free halafu ukaja kwa nyuma hta kama angemtekenya tu kwenye mbavu angejiangusha uzoefu unaonyesha kuwa mara nyingi refa anafunika kuwa ni penalt....na pia refa alikuwa mbali kidogo na eneo lile kwa hiyo kwa namna yoyote ile angefunika tu...casemiro alimuingizia jamaa mguu eneo alilotaka kupiga mpira na jamaa akatumia advantage hiyo ambayo ni mbinu yakimchezo.....kwa mtazamo wangu kwa kitendo chakumuingilia jamaa kwa nyuma na mazingira yakiwa free vile lazima iwe penalt,angalia tena uone pepe na modric walipokuwa wamesimama ndio maana nasema ile penalt wameitaka tu wenyewe kwa kumsakizia casemiro mkuu...
 
Kwa mazingira yale ya mtu kuwa free halafu ukaja kwa nyuma hta kama angemtekenya tu kwenye mbavu angejiangusha uzoefu unaonyesha kuwa mara nyingi refa anafunika kuwa ni penalt....na pia refa alikuwa mbali kidogo na eneo lile kwa hiyo kwa namna yoyote ile angefunika tu...casemiro alimuingizia jamaa mguu eneo alilotaka kupiga mpira na jamaa akatumia advantage hiyo ambayo ni mbinu yakimchezo.....kwa mtazamo wangu kwa kitendo chakumuingilia jamaa kwa nyuma na mazingira yakiwa free vile lazima iwe penalt,angalia tena uone pepe na modric walipokuwa wamesimama ndio maana nasema ile penalt wameitaka tu wenyewe kwa kumsakizia casemiro mkuu...
Uko sahihi nimeitazama kwa kufuata ulivyoeleza nimeliona hilo. Kiujumla hatukuwa na team work kabisa ndo maana Zidane akaamua kuingiza kila mtu ili acheze.
 
Uko sahihi nimeitazama kwa kufuata ulivyoeleza nimeliona hilo. Kiujumla hatukuwa na team work kabisa ndo maana Zidane akaamua kuingiza kila mtu ili acheze.
ni kwel mkuu....usiku ule hakuna cha maana tulichofanya ndo maana me bado moyoni mwangu nina imani kuwa tukiwasha moto kama ule ambao tuliwawashia dortmund marudio wale watoto hawawezi stahimili wale,lazima kipindi cha kwanza tu biashara tushaimaliza....
 
A handful Tuesday for Madridistas. Fenerbahçe vs Real Madrid Baloncesto. Real Madrid C.F vs Wolfburg. The kings of European nights, out to extend history. Vamonos!!

Satellite
 
ni kwel mkuu....usiku ule hakuna cha maana tulichofanya ndo maana me bado moyoni mwangu nina imani kuwa tukiwasha moto kama ule ambao tuliwawashia dortmund marudio wale watoto hawawezi stahimili wale,lazima kipindi cha kwanza tu biashara tushaimaliza....
Yap..uwezo upo sana kwa upande wetu, dkk 45 za kwanza tunawapiga 3. Halafu tunamalizia ngwe ya pili kwa kurelax.
 
Schurrle hit his own ankle and got the penalty against Real Madrid. Schurrle succeeds in what Vidal tried to do 3 years ago at the Bernabeu... Except Arturo just hit the grass

12987046_1197849733573118_4609878422418113054_n.jpg
 
The Colombia international was
pictured laughing during his side's
quarter-final first leg defeat in
Germany and his coach admits "it is
an episode nobody likes"
 
Projected Lineup for today's game (Starting at 5 P.M)

Casilla; Marcelo, Pepe, Nacho, Carvajal; James, Kroos, Kovacic, Isco; Cristiano, Bale. [AS]
 
Back
Top Bottom