Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,893
- 1,623
Unanijua zaidi ya nijijuavo Mimi, mi ni mpenzi wa mpira sio shabiki wa timu.
Subiri 3rd april then uje na maneno haya....VIVA BARCA
Unanijua zaidi ya nijijuavo Mimi, mi ni mpenzi wa mpira sio shabiki wa timu.
Mkuu hao watu kuhusishwa na Real Madrid ni jambo la kawaida kabisa, sababu siku hizi ili mchezaji aonekane ni wa gharama ni lazima ahusishwe na Real Madrid, kwahiyo usipate sana tabu man.Kinachokuja kuuma zaidi ni pale unapojua hatuna DM wa maana lakini kila kukicha ni rumours za de gea, pogba, lewa ( yes kwa sasa anahitajika sana) lakini hatusikii habari za DM yyte wa kueleweka,
Kama uliona lile goli aisee hakukuwa na kiungo yyte aliyekuwa amerudi kusaidia defence, japokua ndio waliopoteza mpira, atletico walikua na game j5 wamepumzika siku mbili ( alhamis na ijumaa) Leo jmosi wanakuja kutufunga watu tuliopumzika wiki nzima, tena nyumbani. Sometimes inatia hasira aisee
aah aaah ye anasema alimaanisha physical fitness sio ability sababu anasema wana majeruhi wengiCristiano Ronaldo says @realmadriden are not league leaders because his team-mates aren't as good as him PA Dugout on Twitter
View attachment 326056
Nani anaye fire na ku-hire?!Dawa mliyochomwa leo ni ndogo lakini ni kali na inauma. Nitoe pole kwa madridista woote kwa kipigo mlichopata. Mimi sijaelewa kwa nini mzigo wa lawama mnataka kumbebesha Perez (rais)wakati yeye hayupo kwenye bench la ufundi. Mlimtimua Banitez na kumpa timu zidane. Sasa mnataka kumtoa sadaka Perez. Msipokuwa makini mtakuwa club ya kutimuatimua.
Tatizo kubwa la Madrid Ni mids. Modric na Kroos walaini sana hawawezi games ngumu, hawana roho mbaya wala si wakabaji wazuri