Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Screenshot_2016-02-27-21-28-52-1.png


Point ngapi hapo different kati ya BAKWAdrinyo? In short hamuna chenu tena, na 3d april kama kawa tutawapiga ile mbaya, chezea baca! 😀nawasilisha hoja
 
Nimesoma michango yenu na kuielewa n naomba nitoe pole kwa fans wote wa madrid, najua mmeumia ila mimi nimeumia zaidi.
Mimi kama Rais wa Real Madrid naahidi kufanyia kazi mapendekezo yenu ila kuondoa unafiki wangu kwenu ninaomba pia nitangulize kutoa pole za dhati kwa msiba utaotokea Camp Nou tukicheza na Barcelona.
Pia vilevile ninamba tuelekeze maombi yetu kwa mungu ili UCL tusipangwe na Atletico, PSG, Bayern wala Barcelona, afaaaadhali kwa PSG ila siohao waliobaki. Naomba wakati tunapeleka maombi yetu wa mungu tuamini ya kwamba mungu atatenda, tuombe kwa imani sana.
Kwa kumalizia naomna niseme tu kuwa, Kiukweli suala la mimi kujiuzulu sio suala dogo. Nimeongoza Madrid kwa miaka mingi na tumepata mafanikio makubwa saaaana, kwanini leo nimeteleza kidogo nipate lawama. Kwa hili hamna budi kunivumilia, heri tumuondoe Zidane kuliko mimi kuachia hii nafasi ya Urais. Naomba tuwe pamoja ktk kipindi hiki kigumu, tukumbuke kuwa umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.
Ni mimi Rais wenu wa Real Madrid kwa sasa Florentino Perez, Madrid, Spain.

cc jackline1 everlenk PNC 1 chebi

Na kwa fanz wote wa Real Madrid (Madridista)
Vamos Vamos Vamos Real Madrid
Haalllllaaaa Madrid
 
Tatizo la Madrid ni rais wao, as long as akiwapo, watakuwa wanashinda ndoo kama Barcelona watakuwa wameshuka kiwango au Attletico wameshuka kiwango, hauwezi ukawa FIRE and HIRE managers kila msimu.
 
Tatizo la Madrid ni rais wao, as long as akiwapo, watakuwa wanashinda ndoo kama Barcelona watakuwa wameshuka kiwango au Attletico wameshuka kiwango, hauwezi ukawa FIRE and HIRE managers kila msimu.


Bora na wewe umeona hilo
Yule Raisi alikosea kumfukuza Ancelotti....
Usajiri wake wote ni failure
Bale, James hawakutakiwa kuwa kwenye ile timu, defence mbovu hakuna
Inabidi ajiangalie yeye
 
Me leo sisemi chochote game sijaingalia ila matokeo nimeyapata...kifua kimejaa hewa hapa nina hasira sana
 
Dawa mliyochomwa leo ni ndogo lakini ni kali na inauma. Nitoe pole kwa madridista woote kwa kipigo mlichopata. Mimi sijaelewa kwa nini mzigo wa lawama mnataka kumbebesha Perez (rais)wakati yeye hayupo kwenye bench la ufundi. Mlimtimua Banitez na kumpa timu zidane. Sasa mnataka kumtoa sadaka Perez. Msipokuwa makini mtakuwa club ya kutimuatimua.
 
Kinachokuja kuuma zaidi ni pale unapojua hatuna DM wa maana lakini kila kukicha ni rumours za de gea, pogba, lewa ( yes kwa sasa anahitajika sana) lakini hatusikii habari za DM yyte wa kueleweka,

Kama uliona lile goli aisee hakukuwa na kiungo yyte aliyekuwa amerudi kusaidia defence, japokua ndio waliopoteza mpira, atletico walikua na game j5 wamepumzika siku mbili ( alhamis na ijumaa) Leo jmosi wanakuja kutufunga watu tuliopumzika wiki nzima, tena nyumbani. Sometimes inatia hasira aisee
 
Kinachokuja kuuma zaidi ni pale unapojua hatuna DM wa maana lakini kila kukicha ni rumours za de gea, pogba, lewa ( yes kwa sasa anahitajika sana) lakini hatusikii habari za DM yyte wa kueleweka,

Kama uliona lile goli aisee hakukuwa na kiungo yyte aliyekuwa amerudi kusaidia defence, japokua ndio waliopoteza mpira, atletico walikua na game j5 wamepumzika siku mbili ( alhamis na ijumaa) Leo jmosi wanakuja kutufunga watu tuliopumzika wiki nzima, tena nyumbani. Sometimes inatia hasira aisee
Mkuu unaongea kwa uchungu sana. Nakuomba uzoee maana hamna namna.
 
Kinachokuja kuuma zaidi ni pale unapojua hatuna DM wa maana lakini kila kukicha ni rumours za de gea, pogba, lewa ( yes kwa sasa anahitajika sana) lakini hatusikii habari za DM yyte wa kueleweka,

Kama uliona lile goli aisee hakukuwa na kiungo yyte aliyekuwa amerudi kusaidia defence, japokua ndio waliopoteza mpira, atletico walikua na game j5 wamepumzika siku mbili ( alhamis na ijumaa) Leo jmosi wanakuja kutufunga watu tuliopumzika wiki nzima, tena nyumbani. Sometimes inatia hasira aisee
Pole sana Mkuu, embu meza Diclopar walau mbili kisha upumzike kitandani.
 
If you want to be a starter at Real Madrid come with a big price-tag. that's what is happening at Real these days. Perez pay alot of money for a player but when they don't perform coaches are in insane pressure, they cant drop the players because of their price tags, they have to play them at any cost. look at Casemiro and Kova they are doing everything but Isco and James are really disappointing in big games.

Hope Perez realises it soon that its not all about the money its about the Passion man!
 
Real Madrid 0-1 Atletico Madrid

MATCH ANALYSIS:
Not worrying about dropping 3 points today,the league was a lost cause even before Benitez was sacked,shouldn't had been appointed in the first place but the thing which breaks my heart is that even Zidane was unable to find a way to defeat this Atletico Madrid side and that too at the Bernabeu.Atletico didn't had much possession but they looked good whenever they had the ball and played better even with lesser possession.But it's also because 2 of Real Madrid's very important players who pose a significant amount of threat were absent today,Bale and Marcelo are very important in providing Real Madrid the width that is essential for posing significant attacking threat,crossing the balls in and putting headers away.

Keylor Navas saved Real Madrid or this might have been a 2 nil defeat.What surprises me and what i always mention is that Danilo plays better as a LB than he does at his favoured RB position.Ramos was just Ok today,Varane wasn't too bright either but did better than Ramos.Carvajal was also missing Bale ahead of him to give his usual overlapping runs.

Modric and Kroos were good ,managed the midfield well but they can't score goals for Real Madrid while playing deeper roles,can they? Both of them played well. Isco and James were below par,both of them hardly cause any attacking chaos these days,Isco mostly dribbles through 2 players and then plays a useless pass and gives the ball away after slowing the attack down,where as James hasn't been as bright as he used to be a year ago,he is unable to find the pockets of space or thread good balls to the forwards and is too afraid to shoot himself these days.

Benzema had started after an injury so I wont blame him,but Ronaldo's finishing was also below par today,he used to put away all of these chances that he has missed today,something that saddens me as i see the age catching up to a great footballer and him being unable to do anything.. But still that's not a way to go out and play and if Ronaldo was unable to score a goal then somebody else should have stepped up,we have a 500 million pounds squad and none of the players was able to score a goal or pose a significant threat in a home game?!

As i said that the league was long gone but these matches are important in preparing for the UCL and next season.Real Madrid wasn't effective in attack tonight and someone needa to take the responsibility, Kovacic deserves to be given more time ahead of James and Isco i guess.

Tough times for Real Madrid, but I can hardly wait for the next match..Good times always come after the bad ones and I'm sure Real Madrid will bounce back and Zidane will learn from his first loss as he is going to stay longer than the others and win silverware with the great whites.

‪#‎HalaMadrid‬
 
Huyo jamaa ni shabiki wa man u damu, yupo madrid sababu haipendi barca na messi, sasa kule man u hana kombe lolote kubeba, madrid pia hamna kombe la kubeba msimu huu, lazima akili iruke. Na kesho anagongwa tena na Arsenal pale OT.
Inaonekan
 
Huyo jamaa ni shabiki wa man u damu, yupo madrid sababu haipendi barca na messi, sasa kule man u hana kombe lolote kubeba, madrid pia hamna kombe la kubeba msimu huu, lazima akili iruke. Na kesho anagongwa tena na Arsenal pale OT.
Unanijua zaidi ya nijijuavo Mimi, mi ni mpenzi wa mpira sio shabiki wa timu.
 
Barcelona Fan huku umekuja kufanya nini? Au hujui maana ya Thread mzee, kuwa mstaarabu basi,,, [HASHTAG]#Jiheshimu[/HASHTAG] [HASHTAG]#Uheshimike[/HASHTAG]

Hapa tunachangamshana mzee...naona imekuuma nini kufungwa? Hiyo trela tu, kwetu tutawapiga kama 4
 
Back
Top Bottom