Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Huo msemo siujui naujua huu #halaaMadrid....... Hongera Kwa point moja si mbaya waswahili tunasema heri nusu Shari kuliko Shari kamili.....nakusalimu tu best yangu nimekumiss ile mbaya....

walisema matokeo mabaya ya Manchester msimu huu kisingizio kitakua Ramos alitusaliti, thatha tuwaulize hii droo na timu iliyopanda daraja tatzo nini? au tatzo ni van gaal kutomruhusu de gea kuondoka?
 
Nilisema na nitaendelea sema.
Benitez si kocha.....
Kaharibu Chelsea, Napoli
Real ijiandae kukosa UEFA
 
And the funny part is entertaining playing Gareth bale in free role position while he has got five players (Isco, James, Kovacic, Modric, Kroos) in his squad who are naturally playing in that position. Yet anaenda kumchezesha Jesse kama lone striker, wakati yeye mwenyewe tuu hata assist hawezi kutoa mtu ashinde. Cha kushangaza zaidi, katika first eleven, Jesse ameanza instead ya james.? Kwa madrid ya sasa James is irrepleceale, Ronaldo hawezi kuperform pasipo mtu kama James & Benzema on pitch.

Kaja na formation yake timu inaonekana kama inacheza " tobo bao " . First half tuu twachezaji wamepoteza zaidi ya pasi 110 kati ya 450 tulizopiga. Msimu huu Tutamkumbuka Don Carlo.

Huyu kocha inaonekana kaja na majina ya wachezaji mfukoni, Siyo bure.
 
Mzee wa majarida Salamander umekimbia pole mtani ndio ukubwa huo Na wala siwez shangaa ulidroo na valerenga ukaja shinda 2:1 kwa taaabu vs galatasalay sasa siwez shangaa
 
Last edited by a moderator:
Hahaha. Ndiyo game ya kwanza ya ligi. Tulieni hata ligi ichanganye kidogo basi.

Haya tumetulia,Maoni yako binafsi juu ya Benitez naona vilio vya wengi wewe unamzungumziaje?....looh!!! Tuko kwenye interview tafadhali karibu sana Boss fans tunakusikiliza........
 
And the funny part is entertaining playing Gareth bale in free role position while he has got five players (Isco, James, Kovacic, Modric, Kroos) in his squad who are naturally playing in that position. Yet anaenda kumchezesha Jesse kama lone striker, wakati yeye mwenyewe tuu hata assist hawezi kutoa mtu ashinde. Cha kushangaza zaidi, katika first eleven, Jesse ameanza instead ya james.? Kwa madrid ya sasa James is irrepleceale, Ronaldo hawezi kuperform pasipo mtu kama James & Benzema on pitch.

Kaja na formation yake timu inaonekana kama inacheza " tobo bao " . First half tuu twachezaji wamepoteza zaidi ya pasi 110 kati ya 450 tulizopiga. Msimu huu Tutamkumbuka Don Carlo.

Huyu kocha inaonekana kaja na majina ya wachezaji mfukoni, Siyo bure.


Relax brother. Carlo couldn't win a single pre-season game last year, lost 2 outta first 3 league games. We'll never miss that guy, ever.

James couldn't start cuz he had a pro-longed break. So, his match fitness isn't up there yet.

Benzema compliments Cristiano's and the whole team's game, we really missed him. Bale is just another price tag forced to be played for political and economical reasons. Don't blame Rafa on this one.

Optimism is the name of the game. I've watched almost all Liga games this past weekend, and trust me when i tell you we aren't that bad.
 
Haya tumetulia,Maoni yako binafsi juu ya Benitez naona vilio vya wengi wewe unamzungumziaje?....looh!!! Tuko kwenye interview tafadhali karibu sana Boss fans tunakusikiliza........

Haha. So far so good. Rafa ni bora zaidi ya Carlo Ancelotti. Jana ni wachezaji tu walikuwa rusty, sio makosa yake. Shots zote golini walikuwa wanampa kipa alipo. Bado nina imani na Rafa.
 
Haha. So far so good. Rafa ni bora zaidi ya Carlo Ancelotti. Jana ni wachezaji tu walikuwa rusty, sio makosa yake. Shots zote golini walikuwa wanampa kipa alipo. Bado nina imani na Rafa.

Vizuri sana bado tuko kwenye interview. ...unafikiri nini kifanyike ili timu yako iweze kuwa kwenye uwezo mzuri wa kupachika mabao maana toka preseason ushindi umekuwa wa kumulika na tochi.

N.B usijiulize huyu vipi ananiuliza maswali mengi Mbona Yale Yale kama ya timu yake,loh! Real Madrid ni timu ya dunia buana!!!(In Madridista's voice).
 
Vizuri sana bado tuko kwenye interview. ...unafikiri nini kifanyike ili timu yako iweze kuwa kwenye uwezo mzuri wa kupachika mabao maana toka preseason ushindi umekuwa wa kumulika na tochi.

N.B usijiulize huyu vipi ananiuliza maswali mengi Mbona Yale Yale kama ya timu yake,loh! Real Madrid ni timu ya dunia buana!!!(In Madridista's voice).

Hahaha. Najua Madrid ni club ya dunia. Hata usiwaze.

Tatizo letu halipo kwenye magoli. City walikula 4 pale, na tungekuwa serious zingeongezeka. Magoli yatakuja tu, na yakianza ni balaa. Tuna Cristiano, Benzema, Isco, James, Modric, Marcelo, Ramos, wote hao wana uwezo wa kufunga. Tunahitaji muda kidoogo kupata rhythm, then it's game on. So far mpaka naenda kulala jana, hakuna team yoyote kwenye liga ilikuwa na goli zaidi ya 1.
 
Mzee wa majarida Salamander umekimbia pole mtani ndio ukubwa huo Na wala siwez shangaa ulidroo na valerenga ukaja shinda 2:1 kwa taaabu vs galatasalay sasa siwez shangaa

Tumedroo sisi, wasiwasi unaona wewe. Siwezi kukimbia Real Madrid hata siku moja, but just do me a favor, don't mention me in your thread, I have nothing to do over there.
 

11909508_982532848466266_1881985788319155533_n.jpg
 

Like José Mourinho, Rafa Benitez begins his Real Madrid managerial career with a 0-0 draw in La Liga.
 
Back
Top Bottom