Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #10,581
AS (18-08-2015)
"My happiness is here"
Nilikuwa naangalia highlight kibao za huyu jamaa..mimi binafsi naona kama kiwango chake nicha kawaida,lakini pia naona bado kocha hajajua tatizo letu la msingi haswa,unajua toka aondoke alonso pale hakuna wakuunganisha timu kabisa....
@JLSanchez78 | It's all done between Inter - Madrid. Kovacic a Real Madrid player now. Official announcement tomorrow.
Nilikuwa naangalia highlight kibao za huyu jamaa..mimi binafsi naona kama kiwango chake nicha kawaida,lakini pia naona bado kocha hajajua tatizo letu la msingi haswa,unajua toka aondoke alonso pale hakuna wakuunganisha timu kabisa....