pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,246
- 3,735
What a wonderful chance!!...
Huyu si ana roho mbaya kama mswahili...ana ana roho ya chuki zakudumu na mapenz yaliyozidi mahaba na anahaki zakuzungumza hivyo maana tulinyoosha nje ndani
Hapa naona umakini unakosekana hapa mbele...watu wanakaa mbali na box la adui
Kweli, naona beki zao ziko very comfortable.
Half time ni 0-0....naona tumezidiwa kiungo cha ukabaji...hawa watt chervy,jesse na nacho wamezidiwa,maana siyo tu wameshindwa kumiliki mpira wakipata ila pia hawatoi accuracy pass wakipata mpira kias ambacho wanampa isco kazi yakushuka hadi chini huku
Sasa kama hawawezi wanafanya nini kwenye squad, huyu Jesé na Nacho ni wa kuuza tu.