Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Issue ya contract hata De Gea ana mkataba na United lakini tunasikia kila siku kuwa ameshakubaliana na Madrid
Hii story imeenea leo kwenye vyombo vya habari vya Spain,wanasema agent wake (kaka yake Ramos) anawatumia huyo jamaa ili Madrid wamuongezee mshahara.Kumbuka Ramos amekataa offer aliyopewa na Perez kuongeza mkataba
Issue ya contract hata De Gea ana mkataba na United lakini tunasikia kila siku kuwa ameshakubaliana na Madrid
Hii story imeenea leo kwenye vyombo vya habari vya Spain,wanasema agent wake (kaka yake Ramos) anawatumia huyo jamaa ili Madrid wamuongezee mshahara.Kumbuka Ramos amekataa offer aliyopewa na Perez kuongeza mkataba
@ElPartododelas12 | The contract renewal talks between Florentino Perez and Ramos have broken down.
- Perez is offering him €7m/year but Ramos wants €10m/year.
HE IS NOT WORTH 10m, Tell him to Vamoose!
He needs more money to put more tattoos.
He should go provoke bulls with attitude then.
Huyu ndio anayemfanya mjomba aone euro milioni 7 kwa mwaka hazitoshi.
![]()