Huwa nakataa mtu anayesema Tchouameni kiungo wa kawaida tatizo la Madrid ni namba 8 na 10 , mfano Bellingham ni more a runner kuliko play maker na kingine Valverde ni average player anayelindwa na moment za kufunga kwa uwezo wake kushoot
Sio uchovu nyie Madrid hamna viungo kbsa, Visca El Club du BarcaHii timu yetu bado maeneo mawili ya msingi ni tatizo,beki ya kushoto na eneo la kiungo,kuanzia ukabaji hadi ushambuliaji..
Eneo la kiungo ukabaji bado wimbi la uchovu linawasumbua hawa wachezaji wetu,kuendelea kutegemea Tchoumeni nikujidanganya,ni average player na pia Jude hana kasi ambapo mpira wa sasa unahitaji watu wenye kasi na wanaofanya maamuzi sahihi na kwa haraka,eneo hilo ubunifu hakuna,lakini pia ukiangalia Rodrigyo anavyocheza na Vin Jr hakuna tofauti na msimu uliopita,wanajitenga sana na wengine na hii inapelekea timu inaposhambuliwa inakuwa ni rahisi sana kufika eneo la goli letu.
Kwa hiyo kwa mwendo huu kwa kwel na viwango hivi sioni mabadiliko kwa mechi za karibuni.
Mbuzi weupe hamuwez hata kupossess ,oooh nyie nyau kwel😂🤣Unaona hata takwimu zinavyoonyesha namna timu ilivyo slow kufanya recovery ya mpira,idadi ya pass zilizokamilika,na hapo ukiangalia vyema tumepiga backpass nyingi na pia uwezo wakupossess mpira ndio hovyo kabisa na mbaya zaidi timu ina vijana ila haikimbii kabisa...na kufanya mashambulizi ni hovyo,angalia idadi ya kona hapo hatuna hata moja,kitu pekee tunachoweza nikucheza rafu nyingi.
View attachment 3375371
Aibu sanaHii tumebebwa ila waaaapi.
Yes, welcome😁
Kashaenda zake arsenali mkuu🙌Tumsajili dogo Zubimendi
Liverpool tumewapa Trent pambaneniHii tumebebwa ila waaaapi.
TRENT mmepigwa kenge nyie nawachukia mno akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
🤣🤣🤣🤣🤣TRENT mmepigwa kenge nyie nawachukia mno akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
Huyu dogo acensio msimu jana alikua na performance nzuri ila kiuhalisia sio mchezaji wa daraja la Real madrid.