Wanamke mnabadili mbona timu hamzihami ....Hadi ziwauwe ?Mungu anisaidie nipate hata usingizi tu maumivu ni makali sana
bila Ancelloti!?, nani wakumwondoa Ancelloti hilo libabu halitoki hapo. ndoa ya kikristo hiyoTujipange tu kwa msimu ujao, ninadhani itakuwa bila Ancelloti.,
Acha wamalize hasira zao zimewajaa vifuani mwao miaka nenda rudi,huwezi kuwa na mafanikio mara dufu ya wao tena combined halafu ukaungwa mkono,they know sisi ndio vizingiti kwao,so kututoa huwa ni zaidi ya sherehe kwao...ndio maana unaona penalt waliopata wao,the same scenario ndio hiyo tulionyimwa sisi ila hakuna anayeiongelea hilo,this is because "We are Real Madrid"..Naona leo tumevamiwa aisee, uwanja wenu huu kumaliza hasira zenu.
We're Madridistas, Hala Madrid!
Pole mkuuAcha wamalize hasira zao zimewajaa vifuani mwao miaka nenda rudi,huwezi kuwa na mafanikio mara dufu ya wao tena combined halafu ukaungwa mkono,they know sisi ndio vizingiti kwao,so kututoa huwa ni zaidi ya sherehe kwao...ndio maana unaona penalt waliopata wao,the same scenario ndio hiyo tulionyimwa sisi ila hakuna anayeiongelea hilo,this is because "We are Real Madrid"..
Acha kufananisha Real Madrid na Mambo ya kijingaWanamke mnabadili mbona timu hamzihami ....Hadi ziwauwe ?
Hahaha 😁🤣 hahaha 😁🤣Duh!, aisee huyu vinicius hayupo serious kabisa. Half Time badala ya kwenda kumsikiliza kocha ye ndo kwanza yupo mitaani anacheza cheza na grealish na leah williamson kwenye tangazo la pepsi
Mungu anisaidie nipate hata usingizi tu maumivu ni makali sana
Ile Fainali hadi kesho ninaikumbuka, iliniuma sana hadi kesho..😅😅😅Timu la kuhonga marefa hili 🤣🤣🤣
Laana ya kuwadhulumu atletico de madrid UEFA fainal imeanza
Kima nyie😎
nimekukubali sana hapo ulipomjumuisha na Camavinga, dogo ni mchezaji wa kawaida sana, anaimbwa lakin sio level za madrid ila bado kuna viazi hawataki kukubali, madrid ni ufundi mguuni + kazi sio lele mama kama TchouameniKama tulivyosema nyakati nyingi hapa,timu kwa ujumla inahitaji mabadiliko makubwa sana,kuanzia eneo la beki hadi katikati pale,beki za kati na pembeni zipo hoi,haswa za pembeni,kaumia Carvajal basi kila mahali ni tobo hakuna muongozaji wa eneo la ulinzi,katikati hapo Valverde nafikiri ni uchovu sana na kuhamishwahamishwa namba,Tchoumeni na Ceballos ni wafangakazi hewa,hata Camavinga pia...hili eneo linahitaji mabadiliko makubwa sana...babu Modric huu uwe msimu wa mwisho kwake,hawa madogo kama hawaaminiwi basi watolewe...eneo la kati kwa maana ya namba 6 tunahitaji watu katili kweli kweli wenye uwezo wakunusa hatari na wanaoweza kujitoa kwa timu,huyu Fran Garcia kashindwa hata kuchukua kadi nyekundu kwa faida ya timu hata iwe draw
Amegaragazwa vibaya sana. Eti come back.Halla Madrid alimfungia mlango muhuni ghetto ona sasa alichofanywa
secretarybird
sawa tufanye mumepewa penalty yenu na mumeshafung. Haya ngapi ngapi?Acha wamalize hasira zao zimewajaa vifuani mwao miaka nenda rudi,huwezi kuwa na mafanikio mara dufu ya wao tena combined halafu ukaungwa mkono,they know sisi ndio vizingiti kwao,so kututoa huwa ni zaidi ya sherehe kwao...ndio maana unaona penalt waliopata wao,the same scenario ndio hiyo tulionyimwa sisi ila hakuna anayeiongelea hilo,this is because "We are Real Madrid"..
HeheheAmegaragazwa vibaya sana. Eti come back.
kumanyoko kwel kweli!!