Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Na ndio maana valencia walipigwa 7 na
Barca kwa sababu moto waliokuwa wanapelekewa sio poa
 
Arsenal hii hii unayoiona mbovu inaweza kukushangaza.

Kama Madrid imefungwa nyumbani na timu ambayo ilikuwa karibu na relegation zone unaweza kupuuza facts ya uwezekano wa kufungwa na Arsenal?
Ni kweli ila haitotiea Arsenal amtoe Madrid
 
Hli kombe ni kama kila mtu halitaki, ngoja tuone
Usijipe matumaini mtani, you'll be disappointed!

Sisi hii point moja kwa Betis inatutosha kabisa. Tumepiga mechi nne ndani ya siku kumi pekee, four points clear on the top zinatosha kabisa kupambania Laliga.

Kwa sasa, tunaweza poteza mechi moja na bado tukawa hapo juu bila wasiwasi. Tukutane kwenye Classico!
 
arsenal tunamuondoa robo fainali kwa sababu tatu sababu ya kwanza arsenal hawezi kutufunga zaidi ya goli tatu akijitaidi sana ni goli mbili na pia mechi za hivi karibuni amekua akiruhusu sana magoli cha pili real madrid tuunauwezo mkubwa sana wa ku funga magoli ni ngumu sana kuwazuia hawa watu wanne kukufunga goli vin,rodrygo,mbappe,belligam na diaz msimu huu ata game nyingi tulizopoteza bado tulikua tunaowezo wa kufunga goli ata kama ni moja au mbili pamoja na kwamba tunashida kubwa ya kiulizi msimu huu ila naamini arsenal shughuliake imeisha na shughuli yote inaenda kuishia benarbeue
 
Msimu huu kwa huo mwenendo wenu msitarajie miracles na hopes zozote za kuchukua UEFA....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…