Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,360
#HalaMadridKikosi chetu hiki hapa... Nadhani approach ya mzee first half ni kuingia na 4:4:2.
Vin atasimama juu kushoto nyuma yake Bellingham , Camavinga na mendy....
huku Mbappe nae akisimama juu kulia pembeni yake Rodrigyo ambae atakua anashuka chini kidogo na kutanua uwanja ili kupokea mipira toka katikati kwa ceballos na pembeni kwa vervede
dimba la kati Ceballos chini yake camavinga
Hii mechi first half inaweza kua kavu sana ila second half hukumu itatoka.
Kila la kheri Madrid