Superficial
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 298
- 612
Naitaji maoni kutoka kwenu Madridista,ipo hivi anachofanya president wetu aka FLORENTINO PEREZ kutosajili kwa namna yoyote ile haitii wasi kwenye performance ya timu au ndio ile anaamini kikosi chake kitampa matokeo chanya mda wowote?🤷🏿♂️