Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Naitaji maoni kutoka kwenu Madridista,ipo hivi anachofanya president wetu aka FLORENTINO PEREZ kutosajili kwa namna yoyote ile haitii wasi kwenye performance ya timu au ndio ile anaamini kikosi chake kitampa matokeo chanya mda wowote?🤷🏿‍♂️
 
Naitaji maoni kutoka kwenu Madridista,ipo hivi anachofanya president wetu aka FLORENTINO PEREZ kutosajili kwa namna yoyote ile haitii wasi kwenye performance ya timu au ndio ile anaamini kikosi chake kitampa matokeo chanya mda wowote?🤷🏿‍♂️
Binafsi naona Imani yake kwa wachezaji na kocha ndio inafanya mpaka sasa timu ipo hapo.

Anapoacha kusajili inaamana kawaamini sana waliopo so na wao wanapambana ili kumuonesha kua hajakosea kuwaamini.

Ila hii sera yake inambana sana kocha kimbinu...

mfano si kila mchezaji anaweza kufiti kwenye mfumo wake ila analazimika tu.
 
Shida ya ancelotti ni mara chache kuvumbua vijana , kwasababu huo upande wa lucas ulitakiwa kuwa na mbadala hata kwa academy ya timu.

Ndio maaana Guardiola hawezi vumilia upuuzi kama anao sacrifice ancelotti,kuwa yeye akishaona pengo mara moja huchukua hatua. Nashangaa kuna game tchouameni akigusa tu mpira anazomewa lakni carlo mechi ilofata alimpanga fresh tu bila bugdha🙌
 
Shida ya ancelotti ni mara chache kuvumbua vijana , kwasababu huo upande wa lucas ulitakiwa kuwa na mbadala hata kwa academy ya timu.

Ndio maaana Guardiola hawezi vumilia upuuzi kama anao sacrifice ancelotti,kuwa yeye akishaona pengo mara moja huchukua hatua. Nashangaa kuna game tchouameni akigusa tu mpira anazomewa lakni carlo mechi ilofata alimpanga fresh tu bila bugdha🙌

Kweli mkuu, sio sababu ya kuwa na academy halafu watoto hawapewi nafasi ya kuziba mapengo kama haya
 
Fiesta nje Bernabeu

1000068353.jpg


1000068354.jpg
 
Back
Top Bottom