Kwa wachezaji waliopo Angecheza nani hiyo namba brotherHuyu Lucas bado anapewa fullback kwenye mechi kama hii? Ancelotti kashachoka anataka kuondoka sasa
Hakuna mbadala hapo Mkuu, kiukweli kwenye ulinzi hali ya team ni tete sanaHuyu Lucas bado anapewa fullback kwenye mechi kama hii? Ancelotti kashachoka anataka kuondoka sasa
Kwa wachezaji waliopo Angecheza nani hiyo namba brother
Hakuna mbadala hapo Mkuu, kiukweli kwenye ulinzi hali ya team ni tete sana
Shida ya ancelotti ni mara chache kuvumbua vijana , kwasababu huo upande wa lucas ulitakiwa kuwa na mbadala hata kwa academy ya timu.
Ndio maaana Guardiola hawezi vumilia upuuzi kama anao sacrifice ancelotti,kuwa yeye akishaona pengo mara moja huchukua hatua. Nashangaa kuna game tchouameni akigusa tu mpira anazomewa lakni carlo mechi ilofata alimpanga fresh tu bila bugdha🙌
Acha kabisa man,Mpira umekua wa kipumbavu sana. Hii pk ya ATM ni upumbavu wa hali ya juu.
Acha kabisa man,
Huyu aplekwe Namungo tu kwa mkopo.Hadi dakika hii huyu Vin Jr hakuna anachofanya huku mbele.
Huenda kwakuwa tumelalamika kuhusu waamuzi nao wameamua kutukomoa.Hii penalty kiukweli tumeonewa, yaani hata huelewi penalty imetokea wapi