Ndomana nimesema kwa sasa afadhari acheze beki wa kati ndio anakua vizuri zaidi kuliko kiungo, maana Kroos mpiga pasi hayupo na modric controlla wa game ndo hivyo tena.
hilo sio tatizo lake ni tatizo la timu kuwa na midifields ambao ni belowa standard. Tatizo anapocehza beki huku akiwa na mtu kama vasquez pemeni anakuwa anapata shida sana. Na pia pengo lake katikati tunapocehza na timu zinazo miliki vizuri mpira linakuwa ni kubwa sana kama vile Barca au City.