Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

View attachment 3006929
Mpaka nilipasua simu kwa hasira nawachukia mno. Akitoka shetani kwenye list yangu mnafata nyie
Pole sana Mkuu
Screenshot_20240603-133030.png
 
Hawa wakikutana na pep kipara wanageuka mabeki wanashindwa kutumia talent zao ,utashangaa kuona foden bora kuliko vinicious ,kazi ni midblock na counter attacks 😂😂😂😂😂😂😂😂
haupo serious wewe aya awo ambao waligeuka washambuliaji walipata nini au wananin cha ajabu walichofanikiwa kwenye soka zaidi ya kushinda ligi ya Mbuzi
 
haupo serious wewe aya awo ambao waligeuka washambuliaji walipata nini au wananin cha ajabu walichofanikiwa kwenye soka zaidi ya kushinda ligi ya Mbuzi
Wewe ndio hauko serious ,inasikitisha kuona mechi ya man city vs madrid ,doku anakuwa bora kuliko vin na ridrigo huu ni uhaini dhidi ya big talent ,wapenzi wa mpira tunapenda unashinda kombe kwa swags ,unaikumbuka madrid ya Zizzou akiwa kocha?ulimuona winger anakuwa beki ?unaikumbuka liverpool bingwa wa Cl chini ya master of jurgern?City ya Pep? Barcelona ya Pep na Rijkard? Wachezaji waonyeshe vipaji vyao tuburudike ,mpira ni burudani.Leo tunajadiliana jude anastahili balon dor lakini tukikumbuka game za buyern ,city alikuwa anazurura tu akimsaidia beki kukaba ,bora camavinga apewe ndio kazi yake.
 
Back
Top Bottom