Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

4-1-2-3 nahisi ndio itakuwa formation yetu ya mwakani naona don carlo kaijaribu leo hii

Attacking force
Don Carlo leo katoa minutes tu, we unaona anampa Luca 90 minutes, maana mkongwe msimu huu kasugua bench kimtindo
 
Japokuwa Lunin tumekuwa nae katika hatua za mtoano,ila ukwel ni kuwa magoli anayofungwa yanakatisha tamaa sana kwa sababu yanafanana.

Natamani sana kumuona Thibo akisimama siku ya fainal,japokuwa naona siasa ya wakongwe inaingialia maamuzi ya benchi la ufundi.
 
Japokuwa Lunin tumekuwa nae katika hatua za mtoano,ila ukwel ni kuwa magoli anayofungwa yanakatisha tamaa sana kwa sababu yanafanana.

Natamani sana kumuona Thibo akisimama siku ya fainal,japokuwa naona siasa ya wakongwe inaingialia maamuzi ya benchi la ufundi.
Hata sio siasa man, Carlo hawezi kum-risk mtu aliyekaa bench karibia msimu mzima, anahitaji muda ili arudi katika hali yake, angalia hata Militão makosa anayoyafanya., ndio maana hata mwenyewe ameamua asicheze game za Euro ili apate muda mzuri wa kuendelea na program yake, ili msimu ukianza awe fit.
Lunin ni kweli anafungwa magoli yanayofanana, na yeye anahitaji uzoefu, ni golikipa mzuri, anahitaji zaidi kujiongeza namna ya kusoma mchezo basi.
 
Real wako dimbani saa hizi lakini naona watu hamna mzuka kabisa, mshamaliza msimu mnasubiri fainali za Champions league tu
Lakini wanakiwasha utafikiri bado wanahitaji point za ushindi, hawa watoto Ancelot aliomwqgq huku uwanjani wanatia adabu watu huku. Halafu waha Wahispania wakiiona kazi ya Diaz wanaweka vichwa chini kwa kutomuita tiku ya taifa.
 
Hata sio siasa man, Carlo hawezi kum-risk mtu aliyekaa bench karibia msimu mzima, anahitaji muda ili arudi katika hali yake, angalia hata Militão makosa anayoyafanya., ndio maana hata mwenyewe ameamua asicheze game za Euro ili apate muda mzuri wa kuendelea na program yake, ili msimu ukianza awe fit.
Lunin ni kweli anafungwa magoli yanayofanana, na yeye anahitaji uzoefu, ni golikipa mzuri, anahitaji zaidi kujiongeza namna ya kusoma mchezo basi.
msimu ujao kama Real madrid haitakua na injury ovyo squad yake itakua hatari sana nashindwa kuelewa kwanini vilabu vingi havitaki kujifunza kwa Perez yule mzee anajua Biashara ya mpira haijawahi tokea kwenye hii sayari ile Bernabeu hapana kwa kweli itachukua mda mrefu sana kwa bara la ulaya kupata uwanja kama ule
 
Timu inashinda kwa kuhonga marefa ni lazima mashabiki nao wapoteane.
Mind yu barca walikuwa wanafanya mawasiliano na marefa wa UEFA kwa nia njema tuu ya kuja kutoa mihadhara juu ya kanuni ila kilichowapata hawawezi sahau. Sembuse sisi kuwahonga marefa na bado hatujapewa adhabu wala karipio. Kumbe REAL MADRID ni kubwa kuliko UEFA yenyewe.
Mkuu unayo haki kuichukia madrid ila angalia usije pata presha bure ukafa
 
1715528225272.png
 
Casemiro anapitia kipindi kigumu imagine anacheza leo mechi akijua atachezeshwa out of position from world class CDM to CB akijua pia atafungwa leo na arsenal

kibaya zaidi anarudi home anaona wenzie huko mjini Madrid wanashangilia ubingwa na uhakika wa asilimia zake wa kubeba ubingwa mwengine wa uefa

it's sad
 
Casemiro anapitia kipindi kigumu imagine anacheza leo mechi akijua atachezeshwa out of position from world class CDM to CB akijua pia atafungwa leo na arsenal

kibaya zaidi anarudi home anaona wenzie huko mjini Madrid wanashangilia ubingwa na uhakika wa asilimia zake wa kubeba ubingwa mwengine wa uefa

it's sad
Casemiro ajilaumu mwenyewe tu, kwanza asingeweza kubaki Real kwa kipindi hiki, pili na hata kama angebaki asingekuwa na uhakika wa kucheza, alifanya chaguo jema la kujijenga kiuchumi, ila alipokosea ni kutowekeza kwenye mazoezi akabetweka, mwisho wa siku amekuwa mzito kupitiliza.
Amewahi kucheza kama CB akiwa Real, so ana ka experience kidogo, shida ni kwamba wakati huu ni akina nani wanamzunguka?
Njia sahihi kwake kwasasa ni kuhamia hapo Saudia tu akamalizie hapo mpira wake huku akiwa na uhakika wa mpunga mrefu.
 
Back
Top Bottom