United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,234
- 6,597
watoto wameroa hatariHawa jamaa tunaweza kuwapiga week wakikaa vibaya
watoto wameroa hatariHawa jamaa tunaweza kuwapiga week wakikaa vibaya
Ushasema unaichukia madrid sasa sijui utasema ukweli gani hapa jukwaan wadau wakuamini. Zaidi zitaonekana ni CHUKI.Timu inashinda kwa kuhonga marefa ni lazima mashabiki nao wapoteane.
Lakini wanakiwasha utafikiri bado wanahitaji point za ushindi, hawa watoto Ancelot aliomwqgq huku uwanjani wanatia adabu watu huku. Halafu waha Wahispania wakiiona kazi ya Diaz wanaweka vichwa chini kwa kutomuita tiku ya taifa.Real wako dimbani saa hizi lakini naona watu hamna mzuka kabisa, mshamaliza msimu mnasubiri fainali za Champions league tu
msimu ujao kama Real madrid haitakua na injury ovyo squad yake itakua hatari sana nashindwa kuelewa kwanini vilabu vingi havitaki kujifunza kwa Perez yule mzee anajua Biashara ya mpira haijawahi tokea kwenye hii sayari ile Bernabeu hapana kwa kweli itachukua mda mrefu sana kwa bara la ulaya kupata uwanja kama uleHata sio siasa man, Carlo hawezi kum-risk mtu aliyekaa bench karibia msimu mzima, anahitaji muda ili arudi katika hali yake, angalia hata Militão makosa anayoyafanya., ndio maana hata mwenyewe ameamua asicheze game za Euro ili apate muda mzuri wa kuendelea na program yake, ili msimu ukianza awe fit.
Lunin ni kweli anafungwa magoli yanayofanana, na yeye anahitaji uzoefu, ni golikipa mzuri, anahitaji zaidi kujiongeza namna ya kusoma mchezo basi.
Mind yu barca walikuwa wanafanya mawasiliano na marefa wa UEFA kwa nia njema tuu ya kuja kutoa mihadhara juu ya kanuni ila kilichowapata hawawezi sahau. Sembuse sisi kuwahonga marefa na bado hatujapewa adhabu wala karipio. Kumbe REAL MADRID ni kubwa kuliko UEFA yenyewe.Timu inashinda kwa kuhonga marefa ni lazima mashabiki nao wapoteane.
Napenda anavyotumia miguu Yote,Huyu kijana Diaz ni noma sana
Casemiro ajilaumu mwenyewe tu, kwanza asingeweza kubaki Real kwa kipindi hiki, pili na hata kama angebaki asingekuwa na uhakika wa kucheza, alifanya chaguo jema la kujijenga kiuchumi, ila alipokosea ni kutowekeza kwenye mazoezi akabetweka, mwisho wa siku amekuwa mzito kupitiliza.Casemiro anapitia kipindi kigumu imagine anacheza leo mechi akijua atachezeshwa out of position from world class CDM to CB akijua pia atafungwa leo na arsenal
kibaya zaidi anarudi home anaona wenzie huko mjini Madrid wanashangilia ubingwa na uhakika wa asilimia zake wa kubeba ubingwa mwengine wa uefa
it's sad
Tumepiga hapo party ya kiana., ila ninadhani macho ni kwenye Champions League final, kama tukichukua ndoo ndio tutakiwasha haswaa.Sherehe ilikuwa Cibeles leo
Tumepiga hapo party ya kiana., ila ninadhani macho ni kwenye Champions League final, kama tukichukua ndoo ndio tutakiwasha haswaa.
Parade kama ya leo bila kuihusisha Bernabeu ninaona bado sio parade.
Nacho kweli amestahili kuwa Captain, jamaa hajui team nyingine yoyote zaidi ya Real Madrid, ni mtumishi wetu wa muda mrefu, ila ninadhani msimu huu unaweza kuwa wa mwisho kwake.Parade ya leo ni traditional, halafu summer hii Madrid kuna tourists kama wote. Na leo Nacho ndio kavesha bendera Cibeles monument, yaani anacheza Real Madrid tangu akiwa toddler mpaka leo captain, kongole kwake
Wenzetu kwa kutunza kumbukumbu wapo vizuri, hapo Cibeles, pamejengwa Mwaka 1782, na mpka leo pako vile vile, sana sana jamaa wanaendelea kupatunza tu na kurekebisha tu, licht ya Mji kupitia mabadiliko makubwa, sikuwahi kusikia kama jamaa wanapango wa kupavunja.View attachment 2988894
Campeones 🏆
Casemiro ajilaumu mwenyewe tu, kwanza asingeweza kubaki Real kwa kipindi hiki, pili na hata kama angebaki asingekuwa na uhakika wa kucheza, alifanya chaguo jema la kujijenga kiuchumi, ila alipokosea ni kutowekeza kwenye mazoezi akabetweka, mwisho wa siku amekuwa mzito kupitiliza.
Amewahi kucheza kama CB akiwa Real, so ana ka experience kidogo, shida ni kwamba wakati huu ni akina nani wanamzunguka?
Njia sahihi kwake kwasasa ni kuhamia hapo Saudia tu akamalizie hapo mpira wake huku akiwa na uhakika wa mpunga mrefu.
Hata lyrics zake zinagusa sana moyo, anthem nzuri sana ile.Na huwa ni kati ya Football club anthem yenye vibe sana.