PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,256
- 17,913
Saa hizi tunawapigia Dortmund hesabu tu., yaani ninaangalia game huku ninafanya mishe zangu., sina hata wasi wasi
Hivi Ancelotti anaondoka au ilikuwa story za waandishi tu? Maana kulikuwa na story eti anaenda kuiongoza timu ya taifa ya Brazil