Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,725
- 6,417
hizi habari barca fans hawataki hatakuzisikia na yamine yamal waoArda Guler anatutanguliza hapa., Kijana amaimrika kadri anavyopewa muda wa kucheza.,
HIi game ya leo dhidi ya Nyambizi hapa inayoendelea kwa kwel Lunin aanzie bench siku ya Fainal...Hata sio siasa man, Carlo hawezi kum-risk mtu aliyekaa bench karibia msimu mzima, anahitaji muda ili arudi katika hali yake, angalia hata Militão makosa anayoyafanya., ndio maana hata mwenyewe ameamua asicheze game za Euro ili apate muda mzuri wa kuendelea na program yake, ili msimu ukianza awe fit.
Lunin ni kweli anafungwa magoli yanayofanana, na yeye anahitaji uzoefu, ni golikipa mzuri, anahitaji zaidi kujiongeza namna ya kusoma mchezo basi.
Militão ameshindwa kum-mark jamaa, muda wote amempoteza, sasa hapo sijui unaanza vipi kumlaumu Lunin, muda wote jamaa anakuwa peke yake anachagua angle ya kupeleka mpira.Ugonjwa ule ule wa mchezaji mmoja kututesa katika game moja ndio unaofanyika hapa...jamaa katupiga nne hapa peke yake hadi sa hvi,Miltao kateseka sana leo hapa..