Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Atakuja na mashairi yake hapa subiri uone
Jude ni beast wewe huwez mwelewa , Ile mechi na city Madrid alienda completely defensively , na dogo alitaabika Sana...mwanzoni mwa Msimu alikuwa kama striker ila sa hv hayo majukumu kapunguziwa ..ndo mana hata kwenye magoli haonekani sana

Naona mumeibuka baada ya muda mrefu wa dhiki, Msisahao kuwa ni Goli kwenye karibu mechi saba sasa.

Kuna wenzenu Ulaya wamepata orgasms' kabisa, Media za Kiingereza zinatapika toka jana.
Jaribuni kutozama comment section muone raia wanavyovurugwa na sifa za uongo za kijana wenu


Real Madrid player ratings vs Barcelona: Jude Bellingham called game! Ballon d'Or favourite's last-gasp winner settles El Clasico - and La Liga title race - as Lucas Vazquez plays unlikely starring role | Goal.com
 
Ni kawaida kwa makocha wa ulaya kusifu wachezaji wanaowafundisha, Mourinho alikua anasema Drogba ndio best striker in the world, alipofika Inter akabadilisha akawa anasema etoo ndio Best.

Jude na KAKA ni sawa na kulinganisha Bongo na Duba

zipi ni Sifa za ungo kuhusu huyo kijana wew jamaa unashida kubwa sana Sio Bure asee
 
Kenge nyie mpira umevuka mstari refa anakataa goli la halali mnabebwa sana. Sasa uefa kuna Goal line tech bayern watawanyoosha
 
Ila Valverde ni chuma sana yule kijana, ni muda wote anakimbia tu, huoni dalili ya kuwa amechoka ama kulalamika, sishangai kuona kila game anaanza.
ana nguvu sana kama mtu mweusi bwana na ile shuti power yake ndio balaaa kwa kizazi ichi Valverde ana piga sana mabunduki mpira ukija kweny mguu ni balaa
 
Hiki hapa juu.
 
uchekeshaji wake uko wapi? Kabla ya Carlo Valverde alikuwa ni wakawaida sana, Caro amepandisha standard ya wachezaji wengi sana pale Madrid.
Wewe jamaa hii timu watu wanaifatilia kuliko unavyofikiri. Hapa nakuletea comments za wadau kuhusu Valverde before Ancelloti hajaja tena Madrid [2021]

Mwaka 2018 Cesar Caspar anaandika ''Valverde ninhabari nyingine kabisa, yule dogo anakimbia uwanja mzima, ni bado anacheza kwa tahadhari ila ana uwezo mkubwa tu wa kupiga nje ya box, Kovacic kwa alichofanya msimu...''

Rapherl 2019: Fede Valverde has impressed Zinedine Zidane, and is set to be given a number of opportunities in the games that remain, with a view to him becoming an important player next season. Zinedine Zidane is a fan of the midfielder's strength, dynamism and versatility. [MARCA]

Cesar Caspar 2019: ''Kila mmoja alicheza vyema ila Valverde alicheza vizur zaidi, Dogo ana uwezo mkubwa sana wa kufanya marking na kupress, uwepo wake uwanjani unampunguzia Casemiro majukumu na kuwapa Kroos/Modric muda wa tune mchezo wa team...''

PAGAN 2019: ''Kitu kingine, ya nini umsaini Pogba wakati kuna Fede Valverde? Dogo ana vitu vyote anakaba with unexpected tackles, air duals, akishambulia ana pace, speed na mpira unanata mguuni.''

Hizo ni chache tuu. Ila utaona Valverde amekuwa consistent since ametoka Castilla mwaka 2017. Comment yako imekaa kiduanzi kiduanzi, kama inaonyesha ulikuwa na shida zamani na Valverde kama ulivyo na shida na Jude sasa hivi.
 
uchekeshaji wake uko wapi? Kabla ya Carlo Valverde alikuwa ni wakawaida sana, Caro amepandisha standard ya wachezaji wengi sana pale Madrid.
kwahyo na wew upo apa kupandisha Standard ya
uchekeshaji wake uko wapi? Kabla ya Carlo Valverde alikuwa ni wakawaida sana, Caro amepandisha standard ya wachezaji wengi sana pale Madrid.

ushauri wa bure uyo jamaa ni wakumpuza tu utapoteza Nguvu zako Bure unajua ukiwa mjuaji sana ata siku moja huwezi kuona madhaifu yako
 
Alichoandika Cesar juzi, ni marudio.Alishakiseka kitambo, na kila mtu anakijua.Ila jamaa ukataka kujifanya wewe ndo unamuangalia sana Valverde.Na katika vijana waliosajiliwa au kupandishwa juu, Valverde ni pekee ambaye hajauzwa au kupelekwa kwa mkopo mahala.
 

Narejea tena, Valvelede kabla ya Carlo alikuwa ni wakawaida sana, Hivi sasa jamaa perfomance zake ni za ki world class player, hakuwa na hadhi hiyo kabla ya carlo, si yeye tu na wengine wengi akina VIni, rodrygo. hicho kipindi unachokizungumza cha Zidane timu ilikuwa ina hali mbaya sana, ilifika hatua mpaka ikaaga champion league round of 16.
 
Broo achana nae huyu
 
Una ligi za kijinga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…