United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,234
- 6,597
unaongea kama mtoto wa shule ya Msingi kwahyo mchezaji kuto perfom mechi moja Ndio mbovu achaa utotoModric anatakiwa kuanza nafasi ya Jude, kwa kweli jamaa hana faida yoyote uwanjani zaidi ya kuvizia mipira ndani ya 6 yard box.
Mara mbili yakeAcha waendelee kujipa moyo kuwa tutaenda kupack bus kama msimu uliopita, tuna vijana wenye nguvu na hari., ule mchaka mchaka wa jana ninadhani waliuona., Etihad mendoza utakuwa huo huo
unaongea kama mtoto wa shule ya Msingi kwahyo mchezaji kuto perfom mechi moja Ndio mbovu achaa utoto
kama umeweza kuliza swali la kitoto kama hilo maana ake hujui majukumu ya Advance midfielder uwanjaniMechi Moja? Last 10 games amefanya nini?
kama umeweza kuliza swali la kitoto kama hilo maana ake hujui majukumu ya Advance midfielder uwanjani
Unamaanisha ushawahi kuvuka hatua ya mtoano ucl second leg mbele ya city etihad?Namaanisha nimewahi vuka hatua kwenye ucl nikiwa vs city hapo hapo kwa etihad dogo. Muwe na kumbu kumbu nyie Arsenal mliovamia chaka la city kupoza machungu
kwahiyo kuangali kwako kote mpira kazi ya Adavance middle ni ku create nafasi tu cha kushauri nenda katafte majukumu ya Advance middle Ndio urudi tumjadili judeUmekuja sehemu nzuri kabisa, ame create nafasi ngapi jana?
Wewe una chuki na Jude since day one hata afanye nini huwe kukubaliMechi Moja? Last 10 games amefanya nini?
mbaya zaidi anamjadili mchezaji ambaye ata afahamu majukumu yake uwanjaniWewe una chuki na Jude since day one hata afanye nini huwe kukubali
kwahiyo kuangali kwako kote mpira kazi ya Adavance middle ni ku create nafasi tu cha kushauri nenda katafte majukumu ya Advance middle Ndio urudi tumjadili jude
Wewe una chuki na Jude since day one hata afanye nini huwe kukubali
Nani akutajie mim ni mwalimu wa soka aututajie basi majukumu yake mtaalamu
wew ni mtoto Nenda kakue kwanza ndio urudi kujadili mpirakwani amefanya nini?
Nani akutajie mim ni mwalimu wa soka au
wew ni mtoto Nenda kakue kwanza ndio urudi kujadili mpira
wew katoto kajinga kweli kwahyo wew unahis mim ni mtoto mwezako haya kazi yake kubwa ni ku link middle area na attack.area hiyo ndio core functionacha kurusha matusi rudi kwenye hoja, Tupe sifa za Adavance midfield Uwanjani
wew katoto kajinga kweli kwahyo wew unahis mim ni mtoto mwezako haya kazi yake kubwa ni ku link middle area na attack.area hiyo ndio core function
Na hiki cha kusifia sifia ndo kimeifanya Uingereza kwenye michuano ya kimataifa kuwa na hype kubwa lakini makombe yakiwakimbia. Wanatabia sana ya kusifia vya kwao hata kama havina maajabu. Vyombo vyao vya habari kwa propaganda sidhani kama kuna vya nchi nyungine vinaifikia.Tatizo ni kulazimisha kutuaminisha kuwa ni Best Player Duniani na kwenye timu, kitu ambacho ni upuuzi sana, Walianza kutuhesabia magoli, baada ya magoli kukuta saivi wamekuja na Hoja kuwa ndie anaeupiga mwingi uwanjani, Sasa ikiwa yeye anaupiga mwingi Toni Kroos na Valverde wanafanya nini? Waingereza ni wapuuzi sana, ukiingi kwenye media zao kila siku headlines nikuwa Jude anaibeba Madrid. akifunga kigoli kimoja tu inakuwa ndio story of the week.
Sidhani kama hua una angalia games za RMA pengine hua una angalia highlights au matokeo , Jude akiwa hayupo timu hua una struggle sana kupata matokeo na kuna mechi nyingi tu ambazo zilihitaji individual briant yake tukapata matokeo mfano El classical na ile ya Union BerlinNa hiki cha kusifia sifia ndo kimeifanya Uingereza kwenye michuano ya kimataifa kuwa na hype kubwa lakini makombe yakiwakimbia. Wanatabia sana ya kusifia vya kwao hata kama havina maajabu. Vyombo vyao vya habari kwa propaganda sidhani kama kuna vya nchi nyungine vinaifikia.
Sidhani kama hua una angalia games za RMA pengine hua una angalia highlights au matokeo , Jude akiwa hayupo timu hua una struggle sana kupata matokeo na kuna mechi nyingi tu ambazo zilihitaji individual briant yake tukapata matokeo mfano El classical na ile ya Union Berlin