Sasa Carlo si ni coward m1 tyuu, ana jipya lipi?Ancerloti Moga sana kipind cha pili karudi na kukaa nyuma ilikua hatari sana kama second leg ataenda kukaa Nyuma mda mrefu Tena kipara atatusumbua sana
hii game inabdi ifie apa apa second leg iwe simple tu
Well said broMechi ijayo pale kati tutafunga milango Kwa vitasa Miltao & Rudiger,
Kisha pale Kati tutafungua booster Camavinga, Velvede, Kroos,
False 9 atasimama Jude, kulia Rodrigo, na kushoto Vini,
Hiki ndio full kikosi na hatutacheza Kwa tahadhari wala mzaha tena Kama leo,
Ni full mchaka mchaka,
Wao Kama the wanajiona leo wamecheza,
sisi leo tuanaona tumepasha,
Vini, camavinga na Jude kutokupata Kadi za njano ni mtego ambao Kipara hawezi kuuruka.
Naamini "Kisago walicho-kikwepa Santiago kinawafuata Etihad"
HUjawahi ifunga city etihad angalia rekodi zako vizuri.Etihad ni uwanja tiliowahitumia kutinga final uefa. Tena tulikwenda etihad tumefungwa na city 1st leg kule bernabeu. Sasa twende kwao mbungi ikapigwe huko. Only long balls tunamaliza kazi. Kroos aanze very tight katikati afu baadae dong maestro luca aingie asambaze upendo kama jana.
Namaanisha nimewahi vuka hatua kwenye ucl nikiwa vs city hapo hapo kwa etihad dogo. Muwe na kumbu kumbu nyie Arsenal mliovamia chaka la city kupoza machunguHUjawahi ifunga city etihad angalia rekodi zako vizuri.
Leo Jude game imemgomea,
Kocha akija na sub ni kheri amuingize miltao achsze na Rudiga , harafu Tchouameni asogee juu pahala pa camavinga, camavinga akapunzike ili asitoke na njano,
Jude nae ampishe modric,,
Vini abaki Ila ajichunge na makosa yake ya hovyo asijekupata Kadi nae
Pia braihim yupo anaweza kuzama pia badala yake
Deflection haitokei bila shot sijui una ongea kitu ganiMadrid ni kama mtu anafuga mbwa kwa kutegelea mavi ya mlevi yaani wewe utegemee mbio tu na ubahatishe ,kwenye goli tatu deflactions 2 hauwezi kuwa na plan nyingine ,kuna maswali yataulizwa na citizens pale Etihad junior staff kama Jude hawawezi kujibu.
Hayo ni maoni yako nayaheshimu japo sio kweliSiku zote huwa nasema humu huyo Jamaa Jude ni muwa ila mnakuwa wabishi, haya endeleeni kumtetea eti game imemkataa
Hayo ni maoni yako nayaheshimu japo sio kweli
Kijana game ilimkataa, sijui alikuwa amepania? Ama ni vp, ninaamini atakuwa vizuri game ijayo.,Ni Kwel Jude game ilimkataa kabisaa..na aina ya magoli tumefungwa karibu yote yanafanana,nafikiri huo ndio udhaifu wameona pekee tunao kwenye safu ya ulinzi,huku mbele wachezaji wapunguze ila anakwenda na mpira anakwenda na mpira.
Punguza makasiriko😀 bado hamjasemaNamaanisha nimewahi vuka hatua kwenye ucl nikiwa vs city hapo hapo kwa etihad dogo. Muwe na kumbu kumbu nyie Arsenal mliovamia chaka la city kupoza machungu
Acha waendelee kujipa moyo kuwa tutaenda kupack bus kama msimu uliopita, tuna vijana wenye nguvu na hari., ule mchaka mchaka wa jana ninadhani waliuona., Etihad mwendo utakuwa huo huoDeflection haitokei bila shot sijui una ongea kitu gani