Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hatimaye ule ubishani umefikia tamati. Siwashabikii City ila ni ukweli usio na shaka kuwa City ndio timu bora zaidi duniani kwa sasa ( kwa maoni yangu)
Well said shabiki wa man city kizazi cha sasa hapa bongo ni watoto waliopo under 14 ila 20's to 100's hapa bongo huwezi mkuta ni die hard fan wa city.
Tumetepeta sana leo los blancos
 
Laliga nako bingwa wetu barcelona kashachukua dah😢
Sema Madrid hatupo levo ya mancity kabisa mazee..Mancity ni litimu limoja linatisha sana
 
Binafsi sio fan wa City kabisa,ukifatilia kwenye majukwaa ya timu za EPL humu utaona tu,mimi ni shabiki nliyechagua kufa na stress za NYUMBU
(MANYUA)
Well said shabiki wa man city kizazi cha sasa hapa bongo ni watoto waliopo under 14 ila 20's to 100's hapa bongo huwezi mkuta ni die hard fan wa city.
Tumetepeta sana leo los blancos
 
Laliga nako bingwa wetu barcelona kashachukua dah

Sema Madrid hatupo levo ya mancity kabisa mazee..Mancity ni litimu limoja linatisha sana
Inter Milan watawatoa tu, Madrid ilikuwa bovu tofauti na mwaka Jana! Pia ni hao hao tu toka 2014, hawanunui wachezaji wapya
 
Man city haina mashabiki. Shabiki yeyote wa city ni either mtoto sana au shabiki wa timu nyingine anayetafuta faraja kwa city na wote ni wajinga wajinga.
Insult sio? wewe ni mpumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…