United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,234
- 6,597
Kwahyo wew unasahau vipigo vyote alivyokupa Real Madrid au umeaza kuangalia game jana mwaka 2012 Real Madrid alikupiga 3 mbili pale bernabeu Cristiano Ronaldo anafunga Goli dakika za lala salama au ulikua bado upo shule mwaka 2016 Real Madrid anakutoa semi final Kwa Goli moja la Gareth bale pale bernabeu wew ulikua uko wapi mwaka jana Tena kakutoa Nusu fainili Real Madrid na city ni Mbingu na ardhi kabisa wew kabishane na stoke city,Leeds united, Sunderland Ndio level zenu hizoMwaka 2019/2020 tulimpiga Madrid nje ndani 2-1 home ,tukaenda kwao tukampiga 2-1 , aggregate 4-2 ...
Madrid akatolewa kwenye mashindano round of 16 ...
Yaliyotokea mwaka Jana kumfunga Madrid 4-3 home ,tukaenda kwake 2-1 ,had extra time ilikuwa kma luck kwao ..
Nasema hivi kama mnaweza nyie mbwa njooni tukutane Tena CL ....ngonja kwanza tumtwange buyern munich harafu tunakuja kuwanyoosha mtaeleza zile goli mbili dakika ya mwisho mlizipataje ..View attachment 2555377