Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kwahyo wew unasahau vipigo vyote alivyokupa Real Madrid au umeaza kuangalia game jana mwaka 2012 Real Madrid alikupiga 3 mbili pale bernabeu Cristiano Ronaldo anafunga Goli dakika za lala salama au ulikua bado upo shule mwaka 2016 Real Madrid anakutoa semi final Kwa Goli moja la Gareth bale pale bernabeu wew ulikua uko wapi mwaka jana Tena kakutoa Nusu fainili Real Madrid na city ni Mbingu na ardhi kabisa wew kabishane na stoke city,Leeds united, Sunderland Ndio level zenu hizo
 
Wewe kiraka nakusibili tukutane Tena CL .....

Chogo kama madenge wewe ....

Komwe kama kijiko cha mboga ....
 

Acha kubishana na watu walioanza kutazama mpira juzi. Ni draw nzuri japo inachangamoto. Tukivuka hapo fainali tunabeba ki wepesi kabisa
 

Anakumbuka alizopata matokeo tu vishabik vyakulisi hivyo
 
Endelea kuota..Madrid ndo kidume cha mbegu duniani sio kwa nyie nyumbu pekee.
 
Nasikia tukipoteza game ya leo wenzetu wanatangaza ubingwa rasmi. Next game wanakabidhiwa kombe uwanjani.
Sizani sababu hadi ligi iishe Kuna mechi 38 na tayari mechi 25 Real Madrid na Barcelona wamecheza Barc akishinda game mbili zijazo atakua na point 71 kwahyo ukipiga hesabu kwa mechi zitakazo Baki bado Real Madrid anaweza kufikisha point alizonazo Barcelona
 
Niliwaambia hapa, Liverpool mtawapiga tena. Hawana timu kabisa. Sasa next round dhidi ya Chelsea, mmepata kibonde mwingine. Hii Chelsea ya sasa hivi hata ikikutana na Yanga, bado sio ya kuiamini.

Kwa kifupi, msimu huu wa champions League, mtakua na mechi ngumu moja tu, dhidi ya ManCity/Bayern Munich.

Mimi nawasubiri Camp nou leo, nataka tumalize kabisa ubishi kuhusu Laliga ili kila mmoja apambane na shughuli nyingine!

 
Leo game yetu na Barca. What will be our possible line up and tactic. Vyovyote vile itakavyokuwa tusikubali ku switch game plan yetu. Tulivyowachezea first leg na Leo iwe ivo ivo mipira mirefu pasi za juu sio fupi fupi tutapata matokeo
 
Nilisema hatuchomoi hii game. Hii ni Madrid dhaifu zaidi miaka ya karibuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…