Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Screenshot_2022-06-07-07-23-35-74.jpg
Vinicius Jr deserved to be number three actually Haaland was deserving to be number two.
 
Niliona Dogo Camavinga alikuwa na mzuka mwingi sana utadhani utadhani ana misimu kadhaa na club kumbe ndio kwanza msimu wa kwanza.,
Tuna bahati sana kupata wachezaji ambao ni mashabiki wa team, hata hupati shida sana kuwaambia wajitume., ndio furaha ya Ancelloti aliyonayo kuifundisha Real Madrid.
Kabisa mkuu. Kocha yoyote unatamani kuwa na timu kama hiyo yenye wachezaji wanaoifia timu
 
Brother mbona unataka tuuze wachezaje wengi hivo wakati tumesajili mmoja tu so far (Rudiger).

Ama kuna plans za kusajili wengine.

Timu si itabaki finyu sana. Rotation ya wachezaji haitokuepo.

Halafu inaonekana Mendy unamkubali sana... Mbona sijawahi kumuona amepanda mbele kumsaidia Vini Jr mashambulizi upande ule. Yeye muda wote yuko nyuma tu.

Mbona mwenzie wa right back (Carvajal) huwa anapanda na kushuka anawasaidia kina Varverde, Asensio na Rodrygo.
Na ndio style ya Madrid miaka yote. Mabeki wa pembeni kupanda mbele kama mawinga. Niambie enzi za Carlos alivyokuwa anakimbia kwa kasi pembeni
 
Wazee huyu dogo ni mzuri?View attachment 2253393
Kiukweli sijawahi kumfuatilia, niliwahi kuangalia kama game mbili tu hivi za Monaco, ila nilichokiona kutoka kwake ni mwepesi sana na hapotezi mipira kihivyo, acha aje tuone.,
Ninakumbuka niliwahi kumfuatilia Camavinga kidogo hivyo pia kabla hatujamsajili, na nilichokiona na ninachokiona kutoka kwake sasa ni tofauti kabisa., so tuwe na tumaini kuwa atakuwa mchezaji mzuri, japokuwa nilikuwa ninatamani club impandishe Antonio Blanco.
 

Official Announcement: Tchouaméni​

11/06/2022

Real Madrid C. F. and AS Monaco have reached an agreement over the transfer of Aurélien Tchouaméni, who joins the club on a six-year deal.

Tchouaméni will be unveiled on Tuesday 14 June at Real Madrid City at 12:00 (CET) following his medical.
 
Back
Top Bottom