Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,516
- 5,418
Klabu ya FC Barcelona imeruhusu harusi kuandaliwa kwenye uwanja wao wa Camp Nou kwa gharama ya kuanzia euro 1, 600 hadi euro 13, 500
Pia Barcelona imeruhusu mashabiki kukodi uwanja huo kucheza kwa dakika 60 kwa kiasi cha euro 300 kwa kila mtu kwa lengo la kujikwamua kiuchumi.
Barcelona ipo kwenye wakati mgumu kiuchumi ambapo hadi sasa wameshindwa kutangaza usajili mpya wa Andreas Christensen kutoka Chelsea na Franck Kessie kutoka AC Milan kwa sababu watavuka kiwango cha kisheria cha Laliga cha mishahara.
Barcelona wamekuja na mpango huo ambao utaanza rasmi Juni 6 hadi Julai mwaka huu kwa mashabiki kucheza ndani ya uwanja wa Camp Nou.
#KitengeSports
Papa PEREZ saidia umbwa hizi maana watashuka daraja kwenda segunda division
Pia Barcelona imeruhusu mashabiki kukodi uwanja huo kucheza kwa dakika 60 kwa kiasi cha euro 300 kwa kila mtu kwa lengo la kujikwamua kiuchumi.
Barcelona ipo kwenye wakati mgumu kiuchumi ambapo hadi sasa wameshindwa kutangaza usajili mpya wa Andreas Christensen kutoka Chelsea na Franck Kessie kutoka AC Milan kwa sababu watavuka kiwango cha kisheria cha Laliga cha mishahara.
Barcelona wamekuja na mpango huo ambao utaanza rasmi Juni 6 hadi Julai mwaka huu kwa mashabiki kucheza ndani ya uwanja wa Camp Nou.
#KitengeSports
Papa PEREZ saidia umbwa hizi maana watashuka daraja kwenda segunda division


