Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Celebrations.,.

01_HE24688Thumb,7.jpg


01_HE25053Thumb,7.jpg


01_HE24678Thumb,7.jpg


01_MJ30012Thumb,7.jpg


01_HE24738_2Thumb,7.jpg


01_AVC7514Thumb,7.jpg


01_HE24764Thumb,7.jpg


01_1VC8454Thumb,7.jpg


01_HE24792Thumb,7.jpg


01_HE25036Thumb,7.jpg


01_HE18632Thumb,7.jpg


01_HE24630Thumb,7.jpg


01_1VC8516Thumb,7.jpg


011__MJ30055.JPGThumb,7.jpg


01_HE24717Thumb,7.jpg


01_AVC9426_1Thumb,7.jpg


01_1VC8606Thumb,7.jpg


01_HE25081Thumb,7.jpg


01_HE24964Thumb,7.jpg


011__MJ30075.JPGThumb,7.jpg


01_HE25092Thumb,7.jpg


01_HE24985Thumb,7.jpg


01_HE24524Thumb,7.jpg


01_MJ12563Thumb,7.jpg


01_HE25073Thumb,7.jpg


01_AVC9861Thumb,7.jpg


01_0VC6234Thumb,7.jpg


01_HE25116Thumb,7.jpg


01_HE24587Thumb,7.jpg


01_HE24952Thumb,7.jpg
 
Tatizo beki aisee, na hivi Cancelo na Grealish ndani ya nyumba. Tuna kazi kwelikweli!
Siku za hivi karibuni tumekuwa na shida sana kwenye upande wa Ulinzi, Militao na mwenzie Alaba wamekuwa na makosa ya kujirudia sana, wakati msimu unaanza walikuwa na tatizo hili baadae wakajirekebisha, ni matumaini yangu kuwa wakajirekebisha tena wakati huu tunakabiliwa na mechi ngumu na muhimu.,
Kuwepo kwa Grealish na Cancelo wala halinisumbui kichwa, ishu ni sisi kucheza kwa uangalifu mkubwa haswa upande wa ulinzi, lakini pia uwepo wa Casemiro unaweza kutusaidia kiulinzi pia, ninajua tutakuwa na game plan nzuri Sana, HalaMadrid, #Hasta El final
 
Bado msimu mmoja tuone kama wata deliver. Natamani waendelee kupewa muda zaidi wa kucheza. Nafikiri hizi game zilizobaki laliga zinawatosha.

Wish nije nione timu iko na cebalos, Valverde, camavinga, rodrigo, vin
Mpaka walipofikia sio mbaya sana,ila ni ukweli acha tuone msimu ujao utakuwa vp kwa hawa vijana, Ceballos ninaona ameimarika sana siku za hivi karibuni kwenye nafasi alizopewa kucheza, ninadhani club itambakisha, ana uwezo mzuri tu, tatizo ni kutengeneza hatari kwa adui ndio bado hilo eneo hajalifanyia kazi, ila dirty game pale kati anaiweza.

Camavinga huyu ni mtu na nusu, akiepuka kufanya makosa na kuepuka kadi za njano basi atakuwa na wakati mzuri sana.,

Rodrygo yupo poa huyu kijana, shida ni kwamba na yeye anakuwa anacheza vizuri sana akitokea wing ya kushoto, tatizo eneo hilo yupo Vinicius Jr ambaye ameonyesha uwezo mkubwa sana, so anacheza wingi ya kulia hivyo hivyo na anajitahid sana japokuwa sio eneo lake sahihi.,

Vini Jr, huyu amekuwa, Sina haja ya kumwelezea.
 
Alaba anaweza ukosa mchezo wa kesho. Nacho mzee wa kuchomesha atacheza kama mbadala. Tunahitaji kucheza kwa kujilinda tukifanya mashambulizi ya kustukiza ya uhakika.
Tukiwa na casemiro kroos na modric huku valvelde akicheza kama mid field ya juu namba kumi kazi ya kiungo itakuwa imeisha.
Kisha baadae dogo camavinga aingie
 
Alaba anaweza ukosa mchezo wa kesho. Nacho mzee wa kuchomesha atacheza kama mbadala. Tunahitaji kucheza kwa kujilinda tukifanya mashambulizi ya kustukiza ya uhakika.
Tukiwa na casemiro kroos na modric huku valvelde akicheza kama mid field ya juu namba kumi kazi ya kiungo itakuwa imeisha.
Kisha baadae dogo camavinga aingie
Kama kocha atakuja kusoma huu ushauri basi mnaenda kuoga magoli mengi ,kwa hiyo mnataka kupark bus ,mtasakwa kokoto mliko ,mashimoni ,chini ya uvungu ,kitandani ,kila vitobo movement za Mahrez ,kDB ,benardo Silva ,foden zitawatafuta mpaka mtaachia tu goli
 
Alaba anaweza ukosa mchezo wa kesho. Nacho mzee wa kuchomesha atacheza kama mbadala. Tunahitaji kucheza kwa kujilinda tukifanya mashambulizi ya kustukiza ya uhakika.
Tukiwa na casemiro kroos na modric huku valvelde akicheza kama mid field ya juu namba kumi kazi ya kiungo itakuwa imeisha.
Kisha baadae dogo camavinga aingie
Yeah, Alaba amejumuishwa kwenye kikosi ila kwa hali aliyonayo hataweza kucheza hiyo kesho, kwahiyo hapo tupo na Nacho., hopefully atakuwa na mchezo mzuri.

Casemiro atakuwepo hiyo kesho, so mtihani kwa Ancelotti ni kwamba aanze na Rodrygo ama Valverde!? Hicho ni kitendawili ambacho atakitegua Mzee mwenyewe.
Nilitamani Camavinga aanze badala na Kroos, ila sioni hilo lilitokea, na pia ninaona Valverde akianza mbele ya Rodrygo.! Kwa vyovyote vile Tumaini ni moja tu USHINDI.
#HALAMADRID
 
Yeah, Alaba amejumuishwa kwenye kikosi ila kwa hali aliyonayo hataweza kucheza hiyo kesho, kwahiyo hapo tupo na Nacho., hopefully atakuwa na mchezo mzuri.

Casemiro atakuwepo hiyo kesho, so mtihani kwa Ancelotti ni kwamba aanze na Rodrygo ama Valverde!? Hicho ni kitendawili ambacho atakitegua Mzee mwenyewe.
Nilitamani Camavinga aanze badala na Kroos, ila sioni hilo lilitokea, na pia ninaona Valverde akianza mbele ya Rodrygo.! Kwa vyovyote vile Tumaini ni moja tu USHINDI.
#HALAMADRID
Binafsi naona Camavinga anakuwa ni mzuri akianzia benchi,ni kama Ozil enzi zile...hapo kwa Nacho ndo tumbo joto,hope atafanya vyema...
 

Real Madrid vs Manchester City - Official line-ups​

Real Madrid XI: Courtois; Carvajal, Militao, Nacho, Mendy; Casemiro, Kroos, Modric; Valverde, Vinicius, Benzema
 
Back
Top Bottom