Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Timu imejitahidi kucheza, ilikua ni fedhea kama tungetoka bila cleansheet. Modric alikua na wakati mzuri. Ila rodrigo anajua cheza na nafasi.
Tusubiri game ya mwisho tuoneTunaenda kukutana na Liverpool hatua ya mtoano kwa mara ya tatu mfululizo.
Shukran sana Mkuu kwa Updates.FT: Sherrif 0 - 3 Real Madrid
Mpira una maajabu sana, yaani haka ka team kalitufunga pale Bernabéu,, nimepokea matokeo kwa mikono miwili, ingekuwa ni fedheha endapo wangetufunga tena, so kupata clean sheet ni jambo la kujivunia sana.Timu imejitahidi kucheza, ilikua ni fedhea kama tungetoka bila cleansheet. Modric alikua na wakati mzuri. Ila rodrigo anajua cheza na nafasi.
Labda PSG, ndio tuna uwezekano mkubwa sana kwa kukutana nao, ama Juventus.Tunaenda kukutana na Liverpool hatua ya mtoano kwa mara ya tatu mfululizo.
Mpira una maajabu sana, yaani haka ka team kalitufunga pale Bernabéu,, nimepokea matokeo kwa mikono miwili, ingekuwa ni fedheha endapo wangetufunga tena, so kupata clean sheet ni jambo la kujivunia sana.
Sasa kituo kinachofuata ni MTIFUANO, hapa sasa ndio wakati wa kujua uimara wa team yetu.,
Ile game kuna usanii ulifanyika niliona kwenye betting sites odds zilikua zina badilika kwa speed nikajua hapa kuna kituMpira una maajabu sana, yaani haka ka team kalitufunga pale Bernabéu,, nimepokea matokeo kwa mikono miwili, ingekuwa ni fedheha endapo wangetufunga tena, so kupata clean sheet ni jambo la kujivunia sana.
Sasa kituo kinachofuata ni MTIFUANO, hapa sasa ndio wakati wa kujua uimara wa team yetu.,
Tuna game nzito mfululizo, acha tusubiri tuone itakuwa vp, ila uimara unahitaji kweli kweli.,Hatua ya kukutana na vigogo wazito suluhu ya hili ili kupita hatua ya 16 ni kuongoza kundi.
Wikiendi nadhani tuna sevilla ngoja tuone itakuaje
Ninadhan ni bahati tu Mzee tulikosa, muda wote mpira ulikuwa upande wao ila sasa kufunga ilikuwa ni shughuli pevu, yaani hata goli lenyewe ilikuwa ni penalty, halafu kwa kuchanganyikiwa zaidi Ancelotti akatoa mabeki akaingiza viungo, hapo Camavinga alicheza kama beki wa kushoto, na goli lilitokea upande wake., yaani ulikuwa ni mvurugikano.Ile game kuna usanii ulifanyika niliona kwenye betting sites odds zilikua zina badilika kwa speed nikajua hapa kuna kitu
Sure! Sijapata muda kucheki hii game ila Nacheki ratings hapa, on average tuko chini, individually naona huyo Asensio na Vini ndo wanafall below normal.Kipindi cha kwanza, team haijacheza vizuri sana, makosa yamekuwa mengi sana, Sevilla wanaonekana hatari wakiwa na mpira, nilitamani kati ya Marco Asensio ama Vinicius mmoja wao atoke, ili aingie Valverde ama Camavinga,, pale kati tumezidiwa kidogo, na pia tunahitaji kucheza kwa speed kidogo, tukicheza jamaa wanavyo cheza tunaweza tukatoa nao droo ama wakatufunga.,
Ninategmea Ancelotti atakuja na jawabu kipindi cha pili.