Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Yeeeees
Screenshot_20211103-212045_Twitter.jpg
 
Tumeanza game vizuri, dakika kadhaa za mwanzo, ghafla tumewarudisha Shakhtar mchezoni, kuna muda ninatamani game zote tucheza away, tukicheza home kama tunapoteana sana, sijui shida ni nini.,
Muda bado tunao wa kurekebisha makosa, acha tuone kama team itakuja na mbinu tofauti.
 
Tumeanza game vizuri, dakika kadhaa za mwanzo, ghafla tumewarudisha Shakhtar mchezoni, kuna muda ninatamani game zote tucheza away, tukicheza home kama tunapoteana sana, sijui shida ni nini.,
Muda bado tunao wa kurekebisha makosa, acha tuone kama team itakuja na mbinu tofauti.
Nafikiri tunajiamini sana na tunarelax kupita kiasi
 
Mendy ana makosa mengi sana gori tumefungwa sababu yake hana speed, anakabia macho
Mendy tumsamehe bure tu ndugu zangu, jamaa ndio anarudi kutoka kwenye majeruhi kuanzia mwishoni wa msimu uliopita, yaani hata pre season hakupata wasaa wa kushiriki na wenzie, ila uwezo wake tunaujua, ndio kwanza anacheza game ya pili kwa muda wote huo, sio rahisi kuwa kwenye utimamu kama wenzie.,
 
Kuna haja ya Alaba kubadilishana namba na Mendy ili kumpunguzia mzigo vinicius.
80% hii mechi tumebebwa na Vinicius Jr na 20% za Benzema.
Bora point 3 zimepatikana.
Kusema kuwa Alaba abadilishane namba na Mendy ina maana Nacho acheze na Militao, kisha Alaba acheze kama full back, kutu ambacho binafsi sikiombei, Nacho kuna muda anajisahau sana ni afadhali Mendy, sijui itachukua muda gani Mendy kukaa sawa, ila akipata pace kama ya wenzie kule upande wa kushoto tumekuwa tumefunga mahesabu.,
 
Kusema kuwa Alaba abadilishane namba na Mendy ina maana Nacho acheze na Militao, kisha Alaba acheze kama full back, kutu ambacho binafsi sikiombei, Nacho kuna muda anajisahau sana ni afadhali Mendy, sijui itachukua muda gani Mendy kukaa sawa, ila akipata pace kama ya wenzie kule upande wa kushoto tumekuwa tumefunga mahesabu.,
No simaanishi Ncho aingie, ninachomaanisha mendy acheze kati Alaba aje fullback. Usisahau Alaba ni fullback pia na hata sasa hivi unaona mara chache anazopanda anakuwa more effective kuliko Mendy sasa imagine akicheza fullback tutaongeza idadi ya nafasi tunazotengeneza.

Naamini Mendy anaweza kucheza kati ila sijamuona kama ana skills za fullback(cross zake mbovu, chenga hawezi kupiga, hana balance kwenye kujilinda na kushambulia) Hadi sasa Marcelo na Carvajal wote nawaona wamemuacha mbali kwa uwezo wa kwenda mbele ila kuzuia amewazidi wote.
 
No simaanishi Ncho aingie, ninachomaanisha mendy acheze kati Alaba aje fullback. Usisahau Alaba ni fullback pia na hata sasa hivi unaona mara chache anazopanda anakuwa more effective kuliko Mendy sasa imagine akicheza fullback tutaongeza idadi ya nafasi tunazotengeneza.

Naamini Mendy anaweza kucheza kati ila sijamuona kama ana skills za fullback(cross zake mbovu, chenga hawezi kupiga, hana balance kwenye kujilinda na kushambulia) Hadi sasa Marcelo na Carvajal wote nawaona wamemuacha mbali kwa uwezo wa kwenda mbele ila kuzuia amewazidi wote.

No simaanishi Ncho aingie, ninachomaanisha mendy acheze kati Alaba aje fullback. Usisahau Alaba ni fullback pia na hata sasa hivi unaona mara chache anazopanda anakuwa more effective kuliko Mendy sasa imagine akicheza fullback tutaongeza idadi ya nafasi tunazotengeneza.

Naamini Mendy anaweza kucheza kati ila sijamuona kama ana skills za fullback(cross zake mbovu, chenga hawezi kupiga, hana balance kwenye kujilinda na kushambulia) Hadi sasa Marcelo na Carvajal wote nawaona wamemuacha mbali kwa uwezo wa kwenda mbele ila kuzuia amewazidi wote.
Tukitaka Mendy acheze kama CB Sina uhakika kama ana quality hizo za kucheza eneo hilo, kama tunataka Alaba acheze mbavu ya kushoto, ni lazima tubadili mfumo, tucheza na beki watatu, huku yeye akicheza kama wing back upande wa kushoto, tofauti na hapo tuvumilie tu Mendy arejee katika kasi yake
 
Kama uliangalia game ya jana ile assist aliotoa Alaba alitokea pembeni kama fullback nme kuelewa mkuu
Ni kweli Alaba akicheza kama left full back anafanya vizuri zaidi kwenye upande wa mashambulizi hata kulinda, ila kwasasa hatuna budi kumchezesha kama CB kwasasa, labda mpaka hapo msimu ujao tutakapo pata CB mpya atayecheza na Militao.,
 
Back
Top Bottom