Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Carlo kaanza kukariri line up
Performance ya Vinicius ya game mbili za mwanzo ndio ilimponza, dogo ni mzuri kwenye team inayo acha nafasi, ila hizi team wanaokaba muda wote dogo hawezi kucheza, kwasababu anasubiri apate mpira akimbie, Sasa jamaa muda wote wapo nyuma, hiyo nafasi ya kukimbia ataipata wapi?
Shida nyingine inayotukumba ni ile kukariri mipira ya kupitia pembeni ili upige cross, Sasa unapiga krosi huku mshamhuliaji mnayemtegemea yupo pembeni pia, Carlo anatakiwa atafute namna ya kuwatumia wachezaji wake.
 
Backline ina makosa mengi sana, pia DM wana chomesha goli la pili mtu anatoka na mpira kati kati mpaka ana funga bila kua marked kazi tunayo
Ile blunder ni ya Nacho man, sikuona umuhimu wa yeye kukabia juu vile wakati tayari Luka alikuwa anafanya follow ya ule mpira wakati huo Alaba yupo pembeni, Sasa yeye kupanda ilifanya Luka kupunguza speed halafu yeye akapitwa, yaani ulifanyika ujinga wa hali ya juu.
 
"I am connected to Paris. But if I had left in the summer it would have only been for Real Madrid"
Maneno ya Mbappé kwenye mahojiano.
 
Narudia Tena hii timu yetu madirid ni matakataka tu Hadi espanyol anatupiga?
 
The Real Madrid line-up for El Clasico is: Thibaut Courtois; Lucas Vazquez, Eder Militao, David Alaba, Ferland Mendy; Luka Modric, Casemiro, Toni Kroos; Rodrygo, Karim Benzema, Vinicius
 
Sijui ni presha ama kutokujiamini, ila mpka sasa team imecheza hovyo, mpira hauendi mbele kabisa, ama tukipata mpira tunapoteza
 
Vini daah, Kijana ana vitu vizuri ila hataki kukua, game anacheza poa inayofuata anazingua
 
Back
Top Bottom