Real Madrid (β€ŽLos Blancos) | Special Thread

Jamaa walicheza vizuri sana kiukweli, na Courtois tu alikuwa makini wangeweza kupata goli, Sasa hapa tujipange namna ya kucheza na Chelsea tu week ijayo, ninaona game kama hii kutoka kwa Betis,
Nina tumaini Zidane ataongea na vijana wake kabla ya game, vijana wanakuwa na haraka sana wanapofika 3/4 ya eneo la upinzani.
 
Villareal 1-2 Barcelona, FT

Atl 73
Madrid 71
Barcelona 71


πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
 
Leo nitakua upande wa spain na sio madrid

I wish kombe liende Man city/kwa pep, na sio madrid, psg wala chelsea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…