Jamaa walicheza vizuri sana kiukweli, na Courtois tu alikuwa makini wangeweza kupata goli, Sasa hapa tujipange namna ya kucheza na Chelsea tu week ijayo, ninaona game kama hii kutoka kwa Betis,
Nina tumaini Zidane ataongea na vijana wake kabla ya game, vijana wanakuwa na haraka sana wanapofika 3/4 ya eneo la upinzani.