Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #44,961
90'+1' GOOOOAAAAAAAAAAAL! Benzema GIVES US THE LEAD WITH A BRILLIANT FINISH!
What kind of Fan are you?What's the hell is going on with this team?
What kind of Fan are you?
Timu ikifungwa goli moja tu ushaanza kung'aka. Hata mchezo haujaisha.
Wewe unataka timu iwe inafunga tuuuu isifungwe hata goli moja?
Mi naona Laliga msimu huu hatuna chetu tena. Tukomae na UEFA tu. We unasemaje?Sio hivyo mkuu, umeangalia first half? 45 minutes sikuona shot on target, wameamka baada ya kupigwa kidude. Na hii ilikuwa kidogo tu jamaa waondoke na pointi moja. Hii timu bado ugonjwa wa moyo kaka. Enzi zetu hawa tunatia 4 bila
Mi naona Laliga msimu huu hatuna chetu tena. Tukomae na UEFA tu. We unasemaje?
Ni rahewm sterling aliepoozaTunataka kuona magoli mawili zaidi to secure the game and be intertained. Huyu Vinincius angekuwa na finishing touch angekuwa mtamu sana. Sema huyu hawezi kubadilika tena huyu.
Huyu dogo sijui kwanini ana endelea kuwa hapoTunataka kuona magoli mawili zaidi to secure the game and be intertained. Huyu Vinincius angekuwa na finishing touch angekuwa mtamu sana. Sema huyu hawezi kubadilika tena huyu.
Tusubiri draw ipangwe.....
Zamani club nyingi ziliogopa kupangwa na Madrid ila zama izi kama vile kila club inataka kupangwa na madrid.
Zama zinabadilika vijana wetu walio kwenye mikopo( LOANEE) wameshaiva warudi mwisho wa msimu.
Utabiri wangu nahisi timu za spain kukutanishwa hatua ya robo fainali zenyewe kwa zenyewe.