Real Madrid are playing like champions
Vs villareal ,tupo machinjioni,ni kuchukua ubingwa tu
Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
Zizou ni habari nyingine. Mzee ana mbinu za kutosha. Wengi wanaomuengea vibaya ni maumivu tu yanawasumbua.Hii timu ndio ileile ya Lopetegui na Santiago Solari iliyokuwa inapigwa bao kwasababu ya weak defense and no game plan, lakini Zidane akichukua na kuifanya iwe timu bora kabisa kwenye eneo la ulinzi.
Halafu uje hapa uniambie mafanikio aliyoyapata Zidane huko nyuma ilikuwa ni bahati tu.
Zizu nmemnyooshea mikono jinsi alivyo panga kikosi jana 4-3-3 ya ajabu ajabu bado tukapata matokeo positiveHii timu ndio ileile ya Lopetegui na Santiago Solari iliyokuwa inapigwa bao kwasababu ya weak defense and no game plan, lakini Zidane akichukua na kuifanya iwe timu bora kabisa kwenye eneo la ulinzi.
Halafu uje hapa uniambie mafanikio aliyoyapata Zidane huko nyuma ilikuwa ni bahati tu.