Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Hala madrid...leo inatakiwa tumnyooshe mtu zisipungie 3 kwa nunge...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho tumpige pep. Akitufunga atatamba sana. Hala madrid
Moyoni mwako unajuwa wazi kuwa anakuja kuangamia pale Arrianz Arrena! Lakini basi tu kwa udhaifu wa Kibinadamu unashindwa kukiri hilo.Moyoni mwako unajuwa wazi kuwa anakuja kuangamia pale Anfield! Lakini basi tu kwa udhaifu wa Kibinadamu unashindwa kukiri hilo.
Enewey nitakulipia kwa Bayern kwa yaliyokukuta
Pole sana kwa yaliyowakuta
Pep hakosei Barnabeu
Mmmh bado kuna marudio ujue
Moyoni mwako unajuwa wazi kuwa anakuja kuangamia pale Arrianz Arrena! Lakini basi tu kwa udhaifu wa Kibinadamu unashindwa kukiri hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iwapo utamtoa Man City pale Etihad basi niandalie nafasi ya kujiunga rasmi kuwa mshabiki wa Manchester United
Hata itokee nini najua huwezi timiza ahadi yako. Kwa hiyo wewe baki huko huko ulipo usije tuletea mabalaa huku.Iwapo utamtoa Bayern pale Arena basi niandalie nafasi ya kujiunga rasmi kuwa mshabiki wa Chelsea
Waaaow can't wait hii bet nzuri sana.
Hata itokee nini najua huwezi timiza ahadi yako. Kwa hiyo wewe baki huko huko ulipo usije tuletea mabalaa huku.haeezi timiza uyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi sana mkuu...yule Rodrygo ana utulivu sana kwenye mechi,huyu Vin Jr ni kama Quaresma,ni machachari lakini siyo hatari.Mimi mpaka kesho ukiniweka Vinicius na Rodrygo hapo nichague mmoja nitamchagua Rodrygo, Dogo ana utulivu sana mbele ya goli na anajua kutumia nafasi, Ninaona Zidane siku hizi hata kwenye match squad hamjumuishi sijui dogo kapatwa na shida gani, ila game ya Jana Alikuwa anaimudu vizuri kabisa,
Vinicius kwenye game na Bilbao alifanya ujinga kama alioufanya tena jana, bado utoto anao mwingi sana kwa kweli, anahitaji kujifunza zaidi.
Dogo huwa ananichoshaga tu pale anapokuwa na mishe nyingi halafu hazina matunda, game kama hizi dhidi ya City hazitaki masihara, unatakiwa ukipata nafasi moja unaitumia hiyo hiyo sababu hujui utapata nyingine kama hiyo baada ya muda gani, ila kijana ndio kwanza anashika kichwa na kucheka! !Upo sahihi sana mkuu...yule Rodrygo ana utulivu sana kwenye mechi,huyu Vin Jr ni kama Quaresma,ni machachari lakini siyo hatari.
Dogo huwa ananichoshaga tu pale anapokuwa na mishe nyingi halafu hazina matunda, game kama hizi dhidi ya City hazitaki masihara, unatakiwa ukipata nafasi moja unaitumia hiyo hiyo sababu hujui utapata nyingine kama hiyo baada ya muda gani, ila kijana ndio kwanza anashika kichwa na kucheka! !