Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Sasa nimeelewa kwanin club walilalamika baada ya huyu refa kuteuliwa kupuliza.kipenga, jamaa ni ovyo sijawahi ona., kuna ile nje kidogo ya box alipeta pia.,Mi bado nalia na Refa tu, yaani kapeta clear penalty kama mbili hivi. Yaani sisi kuweka mpira nyavuni ndio kakumbuka VAR