Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,360
Haya ni majaribio tu, ndio kwanza game ya kwanza plus kuna ugeni so sio rahisi team ku link up mapema khivyo, ngoja tuone game ya pili vijana watakuwa wameimarika vipi!,Real Madrid mdebwedo.
Haya ni majaribio tu, ndio kwanza game ya kwanza plus kuna ugeni so sio rahisi team ku link up mapema khivyo, ngoja tuone game ya pili vijana watakuwa wameimarika vipi!,Real Madrid mdebwedo.
There is no excuse bro, Team ipo weak sn Zidane ameshndwa kuilink Team, km tunafungwa 3 na wachovu km bayern nn ktatokea tukikutana na best onesHaya ni majaribio tu, ndio kwanza game ya kwanza plus kuna ugeni so sio rahisi team ku link up mapema khivyo, ngoja tuone game ya pili vijana watakuwa wameimarika vipi!,
Nimecheza je mkuu??Nimeangalia game ya preseason kati yetu na Bayern, nilichokiona timu inacheza vizuri hasa ukizingatia kuwa ilikuwa game ya kwanza, ila We need to get rid of Benzema, jamaa anapoteza nafasi nyingi sana aisee, tunahitaji MTU ambaye ana uchungu na kupata magoli. Bila hivyo msimu wetu utakuwa mgumu kama wa mwaka Jana.
That is problem, instead to find clinical finisher tupo bize na pogba..Mtu ambae sion km hataongeza ktu chochote kwnye teamNimeangalia game ya preseason kati yetu na Bayern, nilichokiona timu inacheza vizuri hasa ukizingatia kuwa ilikuwa game ya kwanza, ila We need to get rid of Benzema, jamaa anapoteza nafasi nyingi sana aisee, tunahitaji MTU ambaye ana uchungu na kupata magoli. Bila hivyo msimu wetu utakuwa mgumu kama wa mwaka Jana.
There is no excuse bro, Team ipo weak sn Zidane ameshndwa kuilink Team, km tunafungwa 3 na wachovu km bayern nn ktatokea tukikutana na best ones
Nilichokiona kwnye game ya bayern Team bdo ipo vile vile ilvyokua last season Beki znakaba kwa macho, poor marking, most of times they defend out of position, we havent good finisher, the bad thng hatuna holding midfielder apart casemiro
Squard ipo vzuri tatzo ni kocha na bench lake, makosa ya msimu uliopta naona yanaanza kujirudia tena
Last pre-season we were on fire, zikaja mechi Kweli tukaanza kupoteza mapema tu. Zidane knows what he's doing. Let's see next game, I still have a faith in this team
Bayern ni wachovu kweli???There is no excuse bro, Team ipo weak sn Zidane ameshndwa kuilink Team, km tunafungwa 3 na wachovu km bayern nn ktatokea tukikutana na best ones
Nilichokiona kwnye game ya bayern Team bdo ipo vile vile ilvyokua last season Beki znakaba kwa macho, poor marking, most of times they defend out of position, we havent good finisher, the bad thng hatuna holding midfielder apart casemiro
Squard ipo vzuri tatzo ni kocha na bench lake, makosa ya msimu uliopta naona yanaanza kujirudia tena
Last pre-season we were on fire, zikaja mechi Kweli tukaanza kupoteza mapema tu. Zidane knows what he's doing. Let's see next game, I still have a faith in this team
Poor Bale zamu yake ya kutimuliwa kama kikojozi ugenini imefika
#whonext
Vasquez ,mariano are next target and nacho
Basi watumie hekima badala ya kuwaondoa kama takataka