SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Sasa mkuu mshumbuliaji mahiri ni kama nani unaehisi yeye ndie anaefaa pale apatikanwe
Killian Mbappe
Antoine Griezman
Sasa mkuu mshumbuliaji mahiri ni kama nani unaehisi yeye ndie anaefaa pale apatikanwe
Killian Mbappe
Antoine Griezman
Mkuu hao si mastrikers wanaocheza namba 9. hao wanacheza supporting striker kwahivyo hata wakiletwa pale hawatakuja kucheza position anayochez Benzema. Nataku munitajie striker ambaye aje kuchua position ya Benzema.
Game limebadilika sana mkuu na sio lazima timu inganganie natural striker 9!
Wanaweza kucheza kama false 9
Timu nyingi zenye mafanikio kwa sasa wako flexible na wanapendelea sana false 9
Labda ungetupa mfano wa hizo timu zenye hayo mafanikio wanaopendelea sana false 9. mana kwa ninavofahamu mimi all top teams wanacheza na natural striker. Kuanzia TOp 6 za Premier league, PSG, Monaco, Buyern, Borrusia, Barca, Real, Atletico, Napoli, Juventus, Milan, Inter, Roma, Lazio.
Timu zinazotumia false 9
Liverpool
Atletico Madrid (in the absence of huyo chizi aliyepewa red card)
Barcelona (depends on the opponent)
Na nyingine nyingi tu
Mkuu Firmino ni nani?
NA Suarez ni nani? lini ulimuona Bench ?
Na hiyo Atletico walikua wakifanya hivyo kipindi hawana other reliable striker mwengine lakini toka wawe na Moratta lini aliwaona wakacheza hivo?
Wote hao ni false 9
Duh!!!!!!!
MmbapeSasa mkuu mshumbuliaji mahiri ni kama nani unaehisi yeye ndie anaefaa pale apatikanwe
Mpira umebadilika sana mkuu
Ndio maana false 9 rules!
Ndio maana hutamwona Messi au Suarez akikaa kwenye box na kusibiri Bali hucheza with a roving role
Mmbape
Ninachokimaanisha mimi ni ile accuracy rate...yaan sisi iwe ni mshambuliaji wa kati au anayetokea pemben...suala ni kuwa hatuna mtu mwenye uhakika wakupata nafasi chache nakuzitumia vzr...waliopo target imepwaya...tunahitaji mwenye kiu na ambaye anaweza fanya maamuzi ya busara wakat ambapo tunahitajika kufanya hivyo...kitu ambacho ambaye tunamtegemea sasa hivi huyo benzema hana..siyo yeye tu...hata wenzake hawana pia...yule V Jr ni swala la yeye kujengwa kiakili na afundishwe misingi ya uzito wa game...maana ana mambo mengi ambayo hayasaidii timu...Mkuu Mbape ni Supporting striker. anakuwa yupo wide na sio central. Pale PSG central anacheza Cavani na France Central anacheza Girud. Kuwa makini kwenye utizamaji wako wa mpira. Kwaiyo hata akija Madrid atachukua nafasi za kina Bale na Vasquez lakini si Benzema.
Mauro IcardiMkuu hao si mastrikers wanaocheza namba 9. hao wanacheza supporting striker kwahivyo hata wakiletwa pale hawatakuja kucheza position anayochez Benzema. Nataku munitajie striker ambaye aje kuchua position ya Benzema.
Mauro Icardi
Roberto Firmino
Ninachokimaanisha mimi ni ile accuracy rate...yaan sisi iwe ni mshambuliaji wa kati au anayetokea pemben...suala ni kuwa hatuna mtu mwenye uhakika wakupata nafasi chache nakuzitumia vzr...waliopo target imepwaya...tunahitaji mwenye kiu na ambaye anaweza fanya maamuzi ya busara wakat ambapo tunahitajika kufanya hivyo...kitu ambacho ambaye tunamtegemea sasa hivi huyo benzema hana..siyo yeye tu...hata wenzake hawana pia...yule V Jr ni swala la yeye kujengwa kiakili na afundishwe misingi ya uzito wa game...maana ana mambo mengi ambayo hayasaidii timu...
Nimekutajia namba 9 sio uwezo?.. hata kama ni uwezo Benzema ni maji ya jioni muda wake umekata huwezi kumrank na ICARDI kwa sasa.Sasa hao uliowataja kwa upeo wako unahisi wamemzidi Benzema kiuwezo?
Nimekutajia namba 9 sio uwezo?.. hata kama ni uwezo Benzema ni maji ya jioni muda wake umekata huwezi kumrank na ICARDI kwa sasa.