Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Sawa mkuu nimekuelewa... Nilikuwa sifahamu kama unaweza ukalinganisha Ronaldo na Benzema kwenye ufungaji... Tuyamalize tuuu

sijalinganisha nimeweka data za fact tu. Messi ana 10 goals mpaka sasa. Ronaldo ana 4. Ambazi ni sawa na za Bale na Benzema.
 
Binafsi msimu huu naona ni msimu wa kujianda na msimu ujao

Mkuu mpira ndivyo ulivyo huwezi kuwa timu bingwa miaka yote.
Pole mkuu, huo ndio ukweli. Kama umelijua hili basi wewe hutapata shida
 
Mkuu ucjipe moyo sana ronald angekuep kwny hz game angewez kubdl matokeo hata kama uko juv ana bao 4 mpaka sasa ila kumbuka kule ni sehem mpy kwak na bhado anaonesha kwmb anawez ila madrid yetu hi ya sahv game 4 mfululiz awajaona goli maombi muhm
 
Na madrid nay ni dominting club pia iltakiw iwe inafunga sana
 
Nadhani wamepoteza points nyingi mpaka amejua kiswahili, lkn mshabiki mstaarabu sana huyu jamaa
Sure, Sijawahi kuona Salamander akimjibu mtu vibaya. He's a nice person!

Mpira unatuunganisha, ukitokea utani basi ni utani wa kawaida tu wa kishabiki. Nothing personal.

Peace be upon you Salamander!
 
Mkuu ucjipe moyo sana ronald angekuep kwny hz game angewez kubdl matokeo hata kama uko juv ana bao 4 mpaka sasa ila kumbuka kule ni sehem mpy kwak na bhado anaonesha kwmb anawez ila madrid yetu hi ya sahv game 4 mfululiz awajaona goli maombi muhm
Tena ana goli 4...assist 4...key passes za kutosha na ame create big chances 5...sio hzi takataka zetuu
 
Hahaha ni vipigo tu hakuna namna.

Hahaha Loooossss Blsncossssss

Huu msimu unaeza usiondoke na chochote.
 
The mistake is in the tactics . we pass the ball for whole 90 minutes, or we play a long ball from centre circle and no creativity at all . Kroos playing so deep throughout the game . 600 minutes, no goal no penetration. We're in big crisis right now
 
unaongea utoto mpk una boa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…