Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #38,061
Msimu huu tunakuja kivingine
hatuwezi ku fika popote kwa kikosi hiki tume kua na mazoea kwenye kaz
Acha iman potofu back to reality anaondoka Ronaldo tuna sajiri kipa tupo serous kwel?Iyo ni imani yako kwamba hatuwezi fika popote ..imani yangu ina amini tutafika mbali naamini katika falsafa za kocha na ambayo timu inatengenezwa kwa ajili ya future ya baadae ..kama timu iliyopiga uefa 3 ilivyokuwa inaandaliwa #tusubiri msimu mpya
Acha iman potofu back to reality anaondoka Ronaldo tuna sajiri kipa tupo serous kwel?
Tatizo wewe umeijua Realmadrid baada ya kuja Cr7, kwasasa Perezi anawekeza kwa vijana wadogo hao ndo watatesa ndani ya misimu 2 au 3 ijayo utaona mwenyeweAcha iman potofu back to reality anaondoka Ronaldo tuna sajiri kipa tupo serous kwel?