Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

This is football, We shout, we speak all shits and even physically fight for what we believe. Ustaarabu hukohuko kwenye tennis na golf. Hawa watu huko nyuma tumewapotezea sana lakini sio season hii.
Kama mtu anataka kuongea football tuongee football, lakini akija na umama tunaenda nae sawa. Bora iwe hivyo.
 
Msimu huu, uzi wenu utapoa sana.

Mtaitukana sana timu yenu na Papaa Perez!

Msidanganyike na pre-season matches!

Hakuna anayedanganyika na preseason. Real Madrid is more than a club na to tell you the truth timu kwa sasa ipo more balanced kuliko alivyokuwepo CR7. Fans wa madrid toka enzi za Lorenzo Sanzi tunaelewa nini perez na Lopetegui wanafanya kwa sasa, ila wale waliokuwa fans wa madrid baada ya CR7 kusajiliwa hamuwezi elewa hii kitu inayofanyika sasa ndani ya bernabeu.
 
Haya ndo majibu sasa fact kwa fact no panicking
Hakuna anayedanganyika na preseason. Real Madrid is more than a club na to tell you the truth timu kwa sasa ipo more balanced kuliko alivyokuwepo CR7. Fans wa madrid toka enzi za Lorenzo Sanzi tunaelewa nini perez na Lopetegui wanafanya kwa sasa, ila wale waliokuwa fans wa madrid baada ya CR7 kusajiliwa hamuwezi elewa hii kitu inayofanyika sasa ndani ya bernabeu.
 
Haya ndo majibu sasa fact kwa fact no panicking

Wengi hawaelewi kuwa mpira ni sayansi na how you plan, jinsi unavyoplan ndivyo itavyokiwa most of the times. Wengi walizoea kuiona madrid yenye Galacticos na kipindi hicho Galactico akisajiliwa alikuwa Galactico kweli, from Figo, Zidane, Beckham nk walikuwa wanaipa timu faida either ndani ya uwanja ama nje ya uwanja.

Miaka ya karibuni mpira umebadilika sana, kuna inflation kubwa ya bei za wachezaji. Wengine nadiriki sema hawaana thamani hiyo, yote hiyo imesababishwa na ujio wa waarabu katika soka mf ni PSG na Man City. Ukitaka kushindana nao katika hili hutoweza kamwe, kwani wao wanatumia pesa zinazopatikana nje ya mchezo kufinance sajili na expenses za timu.

Madrid kupitia Perez wameliona hilo tatizo, wameamua kupaki basi na kufanya scouting ya young talents. Hii inaihakikishia madrid kuwa na kikosi kitachokuwa pamoja kwa miaka hata mitano mbele ukizingatia stars wa timu kwa sasa ni aged. Kuanzia Modric, Benzema, marcelo na kiongozi mwenyewe Sergio Ramos wote hawa ni zaidi ya miaka 30. Mbadala wa hawa watu inabidi ufanywe kwa umakini mkubwa sana.

Ndo hapo unapoona kuna wakina asensio, vasquez, mayoral, Vinicius, isco wakiwa tayari kukabidhiwa majukumu ya kaka zao. Hili linakuwa engineered na Julen Lopetegui kwani by CV wengi mmemjua Lopetegui baada ya kufukuzwa national team hapo juzi kati. Ila Lopetegui ana historia nzuri katika kulea vipaji, msichojua isco, asensio walipata kulelewa na kufundishwa na Lopetegui wakati wakiwa national team ya watoto za spain. Casemiro mnayemuona leo ni lopetegui huyuhuyu ndo amemfanya awe alivyo pindi alipokiwa Porto kwa mkopo
 
Hewala wewe ndo wa ukweli,unajibu poa sio kukashfu baadhi ya wachezaji au kulazimisha watu waondoke kwenye uzi kisa wanaikosoa timu. Majibu murua. Ligi ianze nianze tupia GIF za magoli.
Wengi hawaelewi kuwa mpira ni sayansi na how you plan, jinsi unavyoplan ndivyo itavyokiwa most of the times. Wengi walizoea kuiona madrid yenye Galacticos na kipindi hicho Galactico akisajiliwa alikuwa Galactico kweli, from Figo, Zidane, Beckham nk walikuwa wanaipa timu faida either ndani ya uwanja ama nje ya uwanja.

Miaka ya karibuni mpira umebadilika sana, kuna inflation kubwa ya bei za wachezaji. Wengine nadiriki sema hawaana thamani hiyo, yote hiyo imesababishwa na ujio wa waarabu katika soka mf ni PSG na Man City. Ukitaka kushindana nao katika hili hutoweza kamwe, kwani wao wanatumia pesa zinazopatikana nje ya mchezo kufinance sajili na expenses za timu.

Madrid kupitia Perez wameliona hilo tatizo, wameamua kupaki basi na kufanya scouting ya young talents. Hii inaihakikishia madrid kuwa na kikosi kitachokuwa pamoja kwa miaka hata mitano mbele ukizingatia stars wa timu kwa sasa ni aged. Kuanzia Modric, Benzema, marcelo na kiongozi mwenyewe Sergio Ramos wote hawa ni zaidi ya miaka 30. Mbadala wa hawa watu inabidi ufanywe kwa umakini mkubwa sana.

Ndo hapo unapoona kuna wakina asensio, vasquez, mayoral, Vinicius, isco wakiwa tayari kukabidhiwa majukumu ya kaka zao. Hili linakuwa engineered na Julen Lopetegui kwani by CV wengi mmemjua Lopetegui baada ya kufukuzwa national team hapo juzi kati.
 
Hakuna anayedanganyika na preseason. Real Madrid is more than a club na to tell you the truth timu kwa sasa ipo more balanced kuliko alivyokuwepo CR7. Fans wa madrid toka enzi za Lorenzo Sanzi tunaelewa nini perez na Lopetegui wanafanya kwa sasa, ila wale waliokuwa fans wa madrid baada ya CR7 kusajiliwa hamuwezi elewa hii kitu inayofanyika sasa ndani ya bernabeu.
Picha linaanzia kwa Atletico, hapo tutaanza kuona kama lweli mnatimu au ni wasindikizaji tu!

Usije ukayakataa maneno yako mkuu!
 
Picha linaanzia kwa Atletico, hapo tutaanza kuona kama lweli mnatimu au ni wasindikizaji tu!

Usije ukayakataa maneno yako mkuu!

Siyo kila siku lazima ushinde, kuna muda wa kupumzika. 3 UCL in a row siyo kazi ndogo. We have overachieved in every angle kwa miaka hii mitatu. Sitoshangaa tukikaa hata misimu mitatu na zaidi hatujachukua major trophy, kwani kwa sasa timu bado inasukwa kama nilivyokwambia. Ingawaje tukichukua pia sitoacha kushangilia. And that is sportsmanship.

Unakumbuka kwamba ni sisi Madrid tulikaa miaka zaidi ya 9 bila UCL.? Lakini tulipokuja anza chukua tumechukua mara 4 ndani ya miaka mitano. Haya hayajatokea kwa bahati mbaya. That is football, na nilichoongea hapo si unazi bali fact.

Na ili mjadala uendelee, ungedeclare wewe ni mshabiki wa timu gani.?
 
Siyo kila siku lazima ushinde, kuna muda wa kupumzika. 3 UCL in a row siyo kazi ndogo. We have overachieved in every angle kwa miaka hii mitatu. Sitoshangaa tukikaa hata misimu mitatu na zaidi hatujachukua major trophy, kwani kwa sasa timu bado inasukwa kama nilivyokwambia. Ingawaje tukichukua pia sitoacha kushangilia. And that is sportsmanship.

Unakumbuka kwamba ni sisi Madrid tulikaa miaka zaidi ya 9 bila UCL.? Lakini tulipokuja anza chukua tumechukua mara 4 ndani ya miaka mitano. Haya hayajatokea kwa bahati mbaya. That is football, na nilichoongea hapo si unazi bali fact.

Na ili mjadala uendelee, ungedeclare wewe ni mshabiki wa timu gani.?
Hahaa, mimi ni Blaugrana.

Atleast unaongea facts, kuna jamaa yeye mitusi tu!
 
Hahaa, mimi ni Blaugrana.

Atleast unaongea facts, kuna jamaa yeye mitusi tu!

Hahahaaa, na nyie si mlisota miaka zaidi ya 10 bila kueleweka. Mlikuwa mmejaza waholanzi tuu. Na mpaka sasa hamueleweki kwani naona mnafanya panick signings. Kitendo cha kusajili Paulinho, kisha ndani ya miaka miwili mnamtoa mtu huyohuyo mmemtoa kwa mkopo.
 
Hahahaaa, na nyie si mlisota miaka zaidi ya 10 bila kueleweka. Mlikuwa mmejaza waholanzi tuu. Na mpaka sasa hamueleweki kwani naona mnafanya panick signings. Kitendo cha kusajili Paulinho, kisha ndani ya miaka miwili mnamtoa mtu huyohuyo mmemtoa kwa mkopo.
Paulinho alikua short term solution kama ilivyo kwa Arturo Vidal. Kwa huo muda mfupi tuliomhitaji alideliver!

Sasa hivi tunajipanga kudominate European football meanwhile tuna andaa a future solid squad kwa young talents tulizonazo!

Zamu yenu imeisha, ni muda wetu sasa!
 
For those who think Real Madrid isn't in a fine shape, I invite you to watch the game against AS Roma tonight.
 
Kovacic is on the verge of being loaned out to Chelsea. [Marca]

Dj_VWljW4AAubzQ.jpg
 
For those who think Real Madrid isn't in a fine shape, I invite you to watch the game against AS Roma tonight.
Hatuwezi kuwapima kwenye hizi friendly matches, atleast mechi ya Atletico itakua kipimo sahihi kwenu!
 
Mateo Kovačić’s loan move to Chelsea Football Club will be made official in a few hours.
The transfer is the start of huge transfers between the two clubs!


He loves Madrid, but he just needs more playing time and when he doesnt get a starting place for Croatia
1f1ed_1f1f7.png
, it is difficult to start for Real Madrid especially with the amazing talent and squad depth we have.


38649342_2121104947914254_2034312367851962368_n.jpg
 
Back
Top Bottom