lynne
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 897
- 1,182
SanaaaaMadrid....Real Madrid duh hii ni hatari asanteni kwa kuleta amani kitaa.

Mimi nacheka kihispania Leo!!!!hahahaha nacheka kihutu
Us against the world!!!!Mwakani tena utasikia kuna watu oooh mtafungwa sijui huwa wanaichukuliaje Real
US against the world
Pole sanaNyinyi Hichi Kidomodomo Chenu Subirini Mufike Fainali Halafu Mumuone Huyo Liverpool Munayeona Munakwenda Kujipigia Nyingi
ALICHOWAFANYA LIVERPOOL MWAKA 1981 KWENYE FAINALI NDIYO ATAKACHOWAFANYA MWAKA 2018
HahahahaHalaaaaaaaaaaa
Japo mwanangu huyu ila Leo naomba nimpondee yaani haoneshi hata kufurahia sana kisa tu hajafunga huo ni ubinafsi.
He is getting oldIla leo wamembania sifa,angefunga aiseeee sijui ingekuwaje