Mahaba yetu kwa Madrid yasitufanye kutoiona fact ya kwamba tunakosa huduma za Morata na James,japo walikua wanakaa benchi lakini walitupa 30 goals,katika kipindi hichi ambacho Benzema kaumia,CR ana kadi na Bale haeleweki wangetusaidia sana
Morata na James ni historia hata ukiwataja leo aisadii kitu, ni sawa na kelele zilizopigwa baada ya Di Maria kuondoka. I still have a trust with the current squad, tunacheza vizuri na creating many chances.
Ndio maana nikasema mahaba yetu kwa Madrid….
Whatever you call it, lakini ninavyojua mimi James floped that's why he was a bench warmer. And I was no so much impressed by Morata since day one
football analyst yoyote atakwambia mzani umehamia pande ya piliWe mama afadhari umekuja kuchangia huku leo, maana ulijipiga ban kwa muda mrefu sana.
Hujui jinsi gani nimeumia kwa hii droo isiyo na ulazima.Yaani draw mbili tu umeanza kutabili msimu? Levante sio wa kubezwa, uliza walifanya nini mpaka wanapanda daraja
Mkuu bado ni mapema sana kuanza kutabiri, tuna team nzuri sana hilo sina wasi wasi nalo, ishu imekuwa ni tactical change aliyoifanya Zizou, kwa upande wangu sikuona sababu ya kumwanzisha Theo na Marcelo kwa pamoja, japokuwa hii sio sababu ya sisi kutoa droo,Msijitoe ufahamu.. Hatuna chetu mwaka huu kama ni kwa kutegemea Bale na Benzema. Morata na James walitusaidia sana last season hasa pale BBC ilipokuwa nje ya form. Our rivals wanazidi kutengeneza gap mpka kushtuka hatuwezi kuziba hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mbadala upo Mkuu , CR7 ndio atakuwa anakipiga kama no. 9 , na upande was kiungo yupo Ceballos , huku Borja akichukua nafasi ya Mariano, bado hatuna shida sana kwenye squad yetu, tumeteleza tu mwanzo wa msimu plus red cards , so hatuko vibaya kihivyo, we'll bounce back . [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]Zizou kazingua sana kutoleta mbadala wa walioondoka.. Mafanikio tuliyopata yatakuwa si kitu mwaka huu kwa hii trend. Yaani hata Levante droo?
Sent using Jamii Forums mobile app
football analyst yoyote atakwambia mzani umehamia pande ya pili
Msijitoe ufahamu.. Hatuna chetu mwaka huu kama ni kwa kutegemea Bale na Benzema. Morata na James walitusaidia sana last season hasa pale BBC ilipokuwa nje ya form. Our rivals wanazidi kutengeneza gap mpka kushtuka hatuwezi kuziba hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app