Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hata mm nimeiona nilidhani utani kumbe siriaz

Hakuna kitu kama hicho. Kwanza Perez siyo anayehangaika na signings za wachezaji kama Harry Kane, jamaa hajawahi kuwa kwenye plans za Madrid, na Spurs hawawezi kuuza moja ya wachezaji wao muhimu saivi.

Kuna nafasi kubwa ya sisi kuuza au kutoa mtu kwa mkopo zaidi ya kuongeza.
 
Taarifa mbaya zaidi benzema kupelekwa castilla kwa mkopo wa mwk mmoja hadi tutakapo pata striker mzuri
...hivi kwa nn Ronaldo asicheze striker
 
Asensio ataanza kwenye game ya Spain vs Italy. Hii si habari nzuri kwa upande wetu, wasije wakatuvunjia tu maana hawa Wataliano ndio walimuumiza Modric mara mbili na hii timu ya Taifa
 
d2175729115c5aea91ae8a7b0bc31c34.jpg


Dirisha linafungwa huku tukibakiwa na striker wetu Benzema,tujiandae kisaikolojia tu
 
Yaani Perez amezingua sana kashindwa kununua striker mmoja wa uhakika?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, club ilishafunga mambo ya usajili siku nyingi, na hata Zidane mara kadhaa amekuwa akisistiza kuwa hana mpango wa kuongeza mchezaji yoyote kwnye kikosi chake, ina maana tayari anajua atawatumia Vp vijana wake, na kwasasa ina maana tutaswtch kwenda 4-4-2 idea ikiwa ni kumdrop mmoja wa BBC.
So usiwe na shaka kijana kila kitu kipo poa.
[HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]!!
 
Mkuu nimemuona Mbappé kapiga bao na timu yao ya taifa jana, we acha tu. Yule dogo angekuja Bernabéu hakuna mtu angetutania
Huyo Dogo alikuwa anademand mshahara mkubwa sana, ninaona club hawakuafikiana na camp yake juu ya hizo demand. Perez haoni shida kutoa pesa ndefu kumnunua mchezaji, but ni lazima aone club itafaidika je ndani na nje ya uwanja, na ukizingatia kuwa hatuna shida kihivyo na foward, so haikuwa necessary kutoa pesa ndefu hivyo kwa kijana atayekuja kukaa bench!!
 
Nimeona kwny Madrid rumours kuwa Ronaldo inavyoonekana atakua anacheza role y no9 nadhan Asensio au isco mmoja atakula ubapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala sio rumors, ndio itakuwa hivyo, tuna wakali wengi sana kwnye kiungo na ili atleast wapate nafasi ya kucheza ni kupiga 4-4-2, na sababu ya kutokurudi sokoni kwa ajili ya striker ni hiyo moja ya CR7 kucheza kama striker.
 
Nimeona kwny Madrid rumours kuwa Ronaldo inavyoonekana atakua anacheza role y no9 nadhan Asensio au isco mmoja atakula ubapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala sio rumors, ndio itakuwa hivyo, tuna wakali wengi sana kwnye kiungo na ili atleast wapate nafasi ya kucheza ni kupiga 4-4-2, na sababu ya kutokurudi sokoni kwa ajili ya striker ni hiyo moja ya CR7 kucheza kama striker.
 
Back
Top Bottom