Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

5d0d2cf4a302a7ea2f3df740216d8e6e.jpg
let's go for la Decima Spanish Super cup. [HASHTAG]#HALA[/HASHTAG] MADRID#

Sent using Jamii Forums mobile app
 
05e15edbe4634d70f5aecf2f09f15288.jpg

The Spanish Football Federation (RFEF) has turned down Real Madrid’s appeal against Ronaldo's 5-match ban, meaning the striker will still miss the second leg of the Spanish Super cup and 4 La Liga games in the opening stage of the season.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watakufa hivyo hivyo maana naona njama zao kubwa na kocha naye wanataka wamfungie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
05e15edbe4634d70f5aecf2f09f15288.jpg

The Spanish Football Federation (RFEF) has turned down Real Madrid’s appeal against Ronaldo's 5-match ban, meaning the striker will still miss the second leg of the Spanish Super cup and 4 La Liga games in the opening stage of the season.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo njama zao wanazotufanyia kamwe hazitofanikiwa,maana marefa wamekuwa wakitunyonga sana Madrid,lakini watakaa tyu leo hao wazee wa catalonia. # Hala Madrid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fainals: Barcelona vs Real madrid
2011 Copa Del Rey Real madrid Win
2011 Super Cup Barcelona Win
2012 Super Cup Real madrid Win
2014 Copa Del Rey Real madrid Win
2017 Super Cup Barcelona or Real madrid???
 
Zidane naona alielewa kazi ya kijana kova baada ya kumficha messi mfukoni
 
Zidane naona alielewa kazi ya kijana kova baada ya kumficha messi mfukoni
Kovacic anaupiga mwingi sana kwa kweli, anaweza akatembea na kijiji. Uwezo wake umempa nafasi nyingine tena Leo, japokuwa Leo anacheza chini kidogo na ilivyokuwa game iliyopita.
 
Back
Top Bottom